Nauza Bati za ALAF

Nauza Bati za ALAF

Mech

Senior Member
Joined
Nov 13, 2017
Posts
149
Reaction score
351
Wakuu mambo vipi?

Nina bati 8pcs za Alaf mgongo mpana (Chacoal grey) na mifuko 4 ya misumali (Kila mfuko una uzito wa 1Kg na misumali 100pcs). Material hizi zilibaki baada ya kupaua.

Kwa ambaye anazihitaji ninaziuza.

1. Kila bati ninauza Tshs 34,000. Kwa bati zote bei yake ni Tshs. 272,000.

2. Mfuko mmoja ninauza Tshs. 7000. Kwa mifuko yote Tshs 25,000

Napatikana Bagamoyo.

Mawasiliano: 0747642122

Screenshot_20250705_114652_Gallery.jpg
 
Wakuu mambo vipi?

Nina bati 8pcs za Alaf mgongo mpana (Chacoal grey) na mifuko 4 ya misumali (Kila mfuko una uzito wa 1Kg na misumali 100pcs). Material hizi zilibaki baada ya kupaua.

Kwa ambaye anazihitaji ninaziuza.

1. Kila bati ninauza Tshs 34,000. Kwa bati zote bei yake ni Tshs. 272,000.

2. Mfuko mmoja ninauza Tshs. 7000. Kwa mifuko yote Tshs 25,000

Napatikana Bagamoyo.

Mawasiliano: 0747642122
Hizo bati ni ngapi? Nifate inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom