Wakuu mambo vipi?
Nina bati 8pcs za Alaf mgongo mpana (Chacoal grey) na mifuko 4 ya misumali (Kila mfuko una uzito wa 1Kg na misumali 100pcs). Material hizi zilibaki baada ya kupaua.
Kwa ambaye anazihitaji ninaziuza.
1. Kila bati ninauza Tshs 34,000. Kwa bati zote bei yake ni Tshs. 272,000.
2. Mfuko mmoja ninauza Tshs. 7000. Kwa mifuko yote Tshs 25,000
Napatikana Bagamoyo.
Mawasiliano: 0747642122
Nina bati 8pcs za Alaf mgongo mpana (Chacoal grey) na mifuko 4 ya misumali (Kila mfuko una uzito wa 1Kg na misumali 100pcs). Material hizi zilibaki baada ya kupaua.
Kwa ambaye anazihitaji ninaziuza.
1. Kila bati ninauza Tshs 34,000. Kwa bati zote bei yake ni Tshs. 272,000.
2. Mfuko mmoja ninauza Tshs. 7000. Kwa mifuko yote Tshs 25,000
Napatikana Bagamoyo.
Mawasiliano: 0747642122