Naungana na mwana fa kuhusu michango ya harusi

Naungana na mwana fa kuhusu michango ya harusi

ndegemzungu

Member
Joined
Mar 10, 2019
Posts
92
Reaction score
248
Hii michango imekuwa kero siku hzi watu wapo bze sana kupeana saport kwenye mambo kama harusi tena siku hzi mtu usipo mchangia inakuwa kama mmetengeneza uadui.Binafsi naungana na Mwana fa. ktk mahojiano yake anasema yeye hatomchangia mtu harusi na wala yeye wakati anaoa hakuomba mchango kwa mtu yoyote akazidi kusema siku hzi watu wanapenda zaidi Harusi kuliko ndoa yenyewe yaani cha muhimu kwa watu ni lile tukio la siku moja(harusi) na sio ndoa yenyewe anasisitiza watu hawaombi matatzo ivyo ni vzuri zaidi kusaidiana wakati wa matatzo lakini ndoa mtu anapanga kabsa kwa iyo vzuri akajiandaa kifedha kuliko kuchangisha watu kama vile wote wanaenda kuoa,anasisitiza zaidi kuwa funga ndoa kutokana na urefu wa mfuko wako kwa sababu hakuna uhusiano kati ya ukubwa wa harusi na ndoa itakavyodum ivyo haoni maana kuwa na harusi kubwa. lakini kama mfuko wako unakuruhusu fanya ila usisumbue kuanza kuchangisha watu fanya harusi inayoendana na mfuko wako.
 
Alilala na bibi harusi Siku moja kabla ya hatusi na sio bwana hatusi, bado mnanishauri harusi?

Unapohitaji kufunga ndoa na sehemu kubwa ya bajeti itoke kwa watu, hapo haujaoa bali tumekuolea
Na ikitokea walevi katikati ya harusi tunaanza fujo zetu basi utuheshimu na kutuvumilia tu
 
Unataka mchango halafu ukinikuta Na shemeji unarusha ngumi
 
Hili wazo n tam san

Maana mimi mwenyew nimepanga kufunga ndoa misa ya asubuh

Then baada ya hapo nitafanya party ya kawaida tu

Ntaita ndugu na marafiki tuuuuu..
 
Hili wazo n tam san

Maana mimi mwenyew nimepanga kufunga ndoa misa ya asubuh

Then baada ya hapo nitafanya party ya kawaida tu

Ntaita ndugu na marafiki tuuuuu..
[emoji23][emoji23] ni kweli michango imekuwa kero siku hzi
 
Mwaka wa pili huu, sichangii sherehe ya aina yoyote ile. Nitachangia matatizo ila sio sherehe.
 
Back
Top Bottom