Naunga mkono Rais kutuita vilaza

Naunga mkono Rais kutuita vilaza

Watanganyika wengi ni vilaza sana hata wasome vipi!

Ndio maana Bi FaizaFoxy ana kamsemo kake kale.. "Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga".

Nilikuwa namuangalia yule injinia anavyobabaika. Hata kuongea sentensi nyoofu hawezi.

Unabaki kujiuliza huyu mtu naye ni "msomi" aliyepewa nafasi ya kusimamia miradi ya nchi!??

Fuatilia uzi wangu mmoja hapa unasema Rais Magufuli kathibitisha kuwa watendaji wengi wa serikalini ni watu dhaifu, wenye elimu ndogo, magoigoi na wababaishaji.

Moderator nisaidie kupandisha ule uzi wangu hapa!
Ni ukweli mchungu.

Nnakuhakikishia yule kijana hata hilo chekeche la maji hajuwi likoje na litafanya kazi vipi.
 
..... na anajiita injinia!
Yaani inasikitisha sana.

Nimeingia google dakika moja tu nimepata methods zaidi ya 50 na projects kubwa na ndogo, nchi tofauti duniani wanatangaza bure.

World Bank, WHO na NGO kibao zina mpaka michoro ya bure. Ni very simple.

Tanzania watu huwa wanatengeneza mazingira ya kula tu pesa.

Hivyo vitu vya bure gharama ndogo sana na vingine nimeona "method" ya "sand filtration". Ndiyo best na haina gharama yoyote zaidi ya kuchimba mashimo tu na kuyajaza "river gravel sand" za size ndogo kabisa upande wa pili maji yanatoka myeupe na masafi unaweza hata kuuza kwenye chupa.

Method nyingine ya rahisi ya kuzuwia tope ni kuyajengea mifereji tu. Waende Mbarali, Rujewa huko wakaone mifereji ilijengwa na Wabulushi tu huko miaka 80 iliyopita inachuja maji kuliko mashine, mpaka kesho inatumika.

Tanzania kwa vilaza kama yule kijana, tuna safari ndefu sana ya kwenda.

Halafu kilaza kama yule apelekwe sehemu hakuna shida ya maji akasimamie mabomba yakipasuka asimamie mafundi bomba au akasome mita za maji. Sehemu za shida ya maji wawekwe watu wenye uzoefu na wabunifu wa kutatua matatizo kwa nyenzo zilizopo.
 
njaa mbaya sana, jinsi ulivyo sema kwenye uzii huu unaonekana unaweza kukubali kudhalilishwa ili mradi mkono uende kinywani.Madikteta wengi wanatumia njaa kama silaha

1571378811068.png


1571378784536.png
 
Watanganyika wengi ni vilaza sana hata wasome vipi!

Ndio maana Bi FaizaFoxy ana kamsemo kake kale.. "Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga".

Nilikuwa namuangalia yule injinia anavyobabaika. Hata kuongea sentensi nyoofu hawezi.

Unabaki kujiuliza huyu mtu naye ni "msomi" aliyepewa nafasi ya kusimamia miradi ya nchi!??

Fuatilia uzi wangu mmoja hapa unasema Rais Magufuli kathibitisha kuwa watendaji wengi wa serikalini ni watu dhaifu, wenye elimu ndogo, magoigoi na wababaishaji.

Moderator nisaidie kupandisha ule uzi wangu hapa!

Active

JamiiForums

Maxence Melo
Kuna ukweli,lakini sio kila mtu ni kilaza.
 
Kuna mambo tunalaumu bure ila hasira ya mkuu wa nchi kwa vijana na wasomi ambao ametuamini mpaka anasema tuvilaza ni kweli.

Nilikuwa pale na nimemsikiliza kwa makini kweli. Kitu kilicho mkwaza Mh Rais nikuwa na kundi la viongozi wasio reasoning hili linamkwaza Rais kiasi nadhani anatamani watafute mahakama yakuwafunga watu wasio na reasoning.

Mh Rais anaumia sana kiukweli kuona vijana tumesoma na tukawa Nadoktaila hatuna uwezo wakufanya mambo kwa uwezo watofauti. Mkuu aliumia kuona mtu aliye soma anasema kale kamradi ka tsh 300m kanataka kutumia miezi sita eti wanafanya upembuzi yakinifu huu ni ujinga huu ni ukilaza.

Nadhani Rais alitegemea kama mkurugenzi tena kijana angesema mkataba ulioletwa unasema miezi sita ila yeye kama mkurugenz ametoa memo kukataa kitu kama hicho. Alichokifanya mkurugenzi wa Manawasa akamjibu kwa namna aliona pia yeye nikilaza.

Majibu yake yalikuwa ya ukilaza. Yes yalikuwa ya ukilaza.

Labda niwaambie ndugu zangu kama taifa tupo kwenye shida kubwa tena tumshukuru huyu mkuu. Yani watu hawareason hawana njia nyingine kufanya kazi. Wanazoa njia ileile na mbaya wanataka hiyo njia wanaipita walindwe? Why?

Sisi nivilaza ndio maana hata pamoja na kazi nzuri ya huyu Rais bado kuponda hakishi sisi kwanini tusiwe vilaza?

Unajuwa leo ngoja niwaambie hata baada ya huyu Rais kuondoka Taifa hili tutasimama nakumwambia asante.
Angalia hata comment za hii mada utawajuwa vilaza na msipinge wewe kilaza.

Asante Mh Rais siogopi kuitwa kilaza naogopa baada ya kuitwa kilaza bado sibadiliki ukilaza wangu.
zama zimebadilika sana.
Nimeamini nyie uvccm mliopelekwa kwenye kitengo hamna mnalojua zaidi ya kuteka na kupoteza, bladibasketibolo!
Hapa umeandika nini sasa? Mradi ulio andikiwa wizarani, fedha zikatafutwa na wizara (za ndani/msaada/mkopo), mshauri katafutwa na wizara na mkandarasi ni wizara jee ipi ni nafasi ya mhandisi mkazi wa halmashauri?
Hapo ni kusimamia tuu, hayo mambo ya upembuzi yakinifu na mengineyo ni ya wizara. Sasa hapo kilaza nani? Anayeulizwa au muulizaji?
Msipende kuushadadia ujinga, mengine bora kunyamaza nakuacha yapite tuu.
 
Hzi nchi zetu za kiafrika zinahitaji madikteta wa maendeleo ili tuweze kusonga mbele na kupiga hatua. Hizi mbwewe za democrasia za vyama vya siasa hata huko zilipoanzia zinaanza kuwashinda. Hata baba wa Taifa Mwl. Nyerere alikuwa na kaina fulani ka udikteta japo yeye alikaficha kidogo hako katabia hakukaweka wazi. Alikuwa ni dikteta wa maendeleo. Nchi zetu hizi za kiafrika kama ikipata rais ambaye si mkali na maslahi ya taifa, nchi itachezewa sana na kila siku tutakuwa tunasoma kwenye magazeti jinsi watu wanaofanya usifisadi uliotukuka. JPM SONGA MBELE USIJALI VILAZA WATAKUELEWA UKIWA UMESHAMALIZA KAZI YAKO NA UMEPUMZIKA.
Kunafaida gani kuzuia kwa mbwembwe mafisadi 20 wanaoiba bilioni 10 na kujibakiza mmoja anayeiba bilioni 20?
Kuna sanaa kubwa sana katika kipindi hiki
 
Back
Top Bottom