Wewe ni mbumbumbu na kwa tabia yako hiyo ya kuendekeza vya kupewa bure utaendelea kuwa mbumbumbu wa kudumu,yaani huwezi kuchagua post gani ya kuchangia kizalendo?Kikao cha bunge ni kikao cha kikazi sio mkutano na waandishi wa habari (press conference).kuna tofauti ya kikao cha kikazi na press conference! Wanaotaka kugeuza bunge kuwa press conference ambamo muda wote waandishi wa habari wamo hawako sahihi
Wabunge wakishakaa na kumaliza kazi ya siku ndio taarifa za yale muhimu ya kazi na matokeo waliyofikia yanawekwa hadharani na maofisa habari wa bunge
Taarifa hizo haziwi na vitu vya kipuuzi kama vile vya mbunge gani amemtukana waziri au mbunge fulani kwa kumwita Kibaka nk.Zinakuwa na zile taarifa muhimu tu za kazi waliyofanya kwenye vikao.
Ikumbukwe pia kuwa Vikao vya kamati za bunge huwa havirushwi Live sababu ni vikao vya kikazi.Na kikao cha bunge ni kikao kikuu cha kikazi sio press conference .Sasa hivi wabunge watafanya kazi barabara kuliko zamani ambapo mara ingine mtu anaomba kuchangia ili tu auze sura kwenye TV aonekane.Wachangiaji unakuta wako msururu wakipigania tu kuonekana!!! Sasa hivi bunge litakuwa na wachangiaji very serious ambao wana hoja za nguvu na si wauza sura kwenye TV
Bunge la Tanzania litakuwa bunge la mfano la kuigwa duniani kwani litatoka na vitu serious vilivyofanyiwa kazi barabara na wabunge serious na habari zitakazotolewa ni zile za HAPA KAZI TU na si zile za mara mbunge kapigwa picha anasinzia bungeni nk
Pia Kazi kuu ya mbunge (Major duty) ni kuleta maendeleo kwenye jimbo lake anakotokea na si kuongeaa sana na kuchonga sana mdomo bungeni na kuanika sura sana kwenye kamera za Televisheni akiwa bungeni.Kuna wabunge majimboni hata kuwaona na kuwakuta ofisini kwao majimboni ni shida.Wao husubiri tu muda ufike wa bunge wachonge midomo na kuuza sura kwenye TV.
unaongeaaa au ndo style yako ya kuharisha?Kuna wabunge hawawezi kazi kabisa ila wanajua kupangilia maneno kweli. Wanaishi tu kwenye siasa za live bungeni kwakuzungumza mambo mazito kweli kweli na baadhi ni mahodari wa kudandia Hoja za wenzao.
Ukienda Jimboni kwake wananchi wake wanaishi kwenye dimbwi la umasikini, Hawa wabunge hawajitumi kabisa.
Hawaanzishi vikoba, Hawaanzishi miradi ya manufaa kwa wananchi wao,wana diplomatic passport lakini hwatafuti wafadhiri. Hebu tuwadhibiti kabisa waanze kufanya kazi Majimboni.
Napeeeeee futiilia mbali mbali mambo live wabunge wawe wanashinda kwa wananchi wakiwahudumia.
Itoshe tu kusema kuwa anatumia masaburi!Kabla ya kuendelea na mjadala nataka kufahamu unatumia nini kufikiri?kitu kikiwekwa wazi ina watu wanakifahamu na hata wananchi na viongozi wanaweza kuanza ufuatiliaji, lakini kitu kikijadiliwa kwa kufichwa fichwa hata kisipotekelezwa ni nani atakayefahamu?
Wananchi siye ndiyo tulio wachagua na tunahitaji kuangalia bunge,nyinyi endeleeni kufuata upepo lkn wabunge wenu watakacho kikuta huku majimboni ndio watajua kuwa bora wangelikubali waonekane bungeni kuliko kuficha huo ujinga wao wa kukata maunoKWANZA NANI ANAKAA KUTWA NZIMA AKIANGALIA BUNGE NI BORA TUWE WAKWELI.HAWA JAMAA WAMEKOSA HOJA SASA WAMESHIKILIA HAPO HAPO ILI WANANCHI WAWAHURUMIE.KAMA KWELI TUNATAKA KUFANYA KAZI
AGENDA HIYO HAINA MSHIKO.WANAOANGALIA WENGI NI WA WALE KULA KULALA WACHAPAKAZI WENGI HUANGALIA USIKU
Hii shule ni mojawapo ya shule iliyopo jimboni mwa nape huko mtama mkoani lindiKujua mbunge anayetetea maendeleo ya jimbo lake kaangalie jimboni kwake usimwangalie sura yake bungeni akiongea kwa uchungu wa kutunga na machozi ya kitapeli.Maendeleo yaliyoko bungeni ndio kionyeshaji wazi kuwa mbunge anatetea maendeleo jimboni.
Sasa kaka ukiwa wapo live unasema wanadandia hoja za wenzao na hawajafanya chochote majimboni mwao ILA sibora alivyodandia hiyo hoja ya mwenzie maana hata yeye ameongea na ukiona amedandia ujue hata yeye jimbon kwake kunatatzo Hilo Hilo kuliko kukaa kimya.Kuna wabunge hawawezi kazi kabisa ila wanajua kupangilia maneno kweli. Wanaishi tu kwenye siasa za live bungeni kwakuzungumza mambo mazito kweli kweli na baadhi ni mahodari wa kudandia Hoja za wenzao.
Ukienda Jimboni kwake wananchi wake wanaishi kwenye dimbwi la umasikini, Hawa wabunge hawajitumi kabisa.
Hawaanzishi vikoba, Hawaanzishi miradi ya manufaa kwa wananchi wao,wana diplomatic passport lakini hwatafuti wafadhiri. Hebu tuwadhibiti kabisa waanze kufanya kazi Majimboni.
Napeeeeee futiilia mbali mbali mambo live wabunge wawe wanashinda kwa wananchi wakiwahudumia.
kwani umelazimishwa kuangalia acha sisi wengine tuangalie tujue nani anasinzia bungeni na nani anatuwakilisha ipasavyoKikao cha bunge ni kikao cha kikazi sio mkutano na waandishi wa habari (press conference).kuna tofauti ya kikao cha kikazi na press conference! Wanaotaka kugeuza bunge kuwa press conference ambamo muda wote waandishi wa habari wamo hawako sahihi
Wabunge wakishakaa na kumaliza kazi ya siku ndio taarifa za yale muhimu ya kazi na matokeo waliyofikia yanawekwa hadharani na maofisa habari wa bunge
Taarifa hizo haziwi na vitu vya kipuuzi kama vile vya mbunge gani amemtukana waziri au mbunge fulani kwa kumwita Kibaka nk.Zinakuwa na zile taarifa muhimu tu za kazi waliyofanya kwenye vikao.
Ikumbukwe pia kuwa Vikao vya kamati za bunge huwa havirushwi Live sababu ni vikao vya kikazi.Na kikao cha bunge ni kikao kikuu cha kikazi sio press conference .Sasa hivi wabunge watafanya kazi barabara kuliko zamani ambapo mara ingine mtu anaomba kuchangia ili tu auze sura kwenye TV aonekane.Wachangiaji unakuta wako msururu wakipigania tu kuonekana!!! Sasa hivi bunge litakuwa na wachangiaji very serious ambao wana hoja za nguvu na si wauza sura kwenye TV
Bunge la Tanzania litakuwa bunge la mfano la kuigwa duniani kwani litatoka na vitu serious vilivyofanyiwa kazi barabara na wabunge serious na habari zitakazotolewa ni zile za HAPA KAZI TU na si zile za mara mbunge kapigwa picha anasinzia bungeni nk
Pia Kazi kuu ya mbunge (Major duty) ni kuleta maendeleo kwenye jimbo lake anakotokea na si kuongeaa sana na kuchonga sana mdomo bungeni na kuanika sura sana kwenye kamera za Televisheni akiwa bungeni.Kuna wabunge majimboni hata kuwaona na kuwakuta ofisini kwao majimboni ni shida.Wao husubiri tu muda ufike wa bunge wachonge midomo na kuuza sura kwenye TV.
Joseph Haule kapeleka mabomba ya maji jimboni lakini unanitukana bure tu.Ni kawaida kabisa kuwa ukitumia hivi vitu ni lazima akili zako zipungue kwa kasi ya ajabu.....UGORO. ..KIMPUMU. ...WANZUKI....VIROBA
kwani umelazimishwa kuangalia acha sisi wengine tuangalie tujue nani anasinzia bungeni na nani anatuwakilisha ipasavyo
wanaotetea bunge lisionyweshe live ni interahamwe kama wewe hamna uchungu na nchi yetu,hawajamaa ukiwafungia bila kuwaonyesha watapiga dili sana mpaka wanaweza kutuuza na sisi
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, kweli mkuu hawa wanaweza kutupiga mnada bila wenyewe kujijua....salute sana mkuu!!!!kwani umelazimishwa kuangalia acha sisi wengine tuangalie tujue nani anasinzia bungeni na nani anatuwakilisha ipasavyo
wanaotetea bunge lisionyweshe live ni interahamwe kama wewe hamna uchungu na nchi yetu,hawajamaa ukiwafungia bila kuwaonyesha watapiga dili sana mpaka wanaweza kutuuza na sisi
Mkuu pamoja na mapungufu ya kikwete lkn angalau kwenye hili alikuwa flexibleUtajuaje mbunge wako anapambana bungeni kama bunge alirushwi live utajuaje mbunge wako kama anapambania miradi mikubwa ifike jimboni mwake bila bunge kurushwa live wewe huo udc unaoutafuta huto upata huu muhimili uachwe ufanye kazi wenyewe usiingiliwe Na serikali
Utajuaje mbunge wako anapambana bungeni kama bunge alirushwi live utajuaje mbunge wako kama anapambania miradi mikubwa ifike jimboni mwake bila bunge kurushwa live wewe huo udc unaoutafuta huto upata huu muhimili uachwe ufanye kazi wenyewe usiingiliwe Na serikali
Kufanya kwao mambo ya hovyo ni sababu mufilisi ya kutoonesha Bunge.Naunga mkono hatamie
Hawa wabunge wetu wengi wanapenda kuonwa wakifanya mambo ya hovyo bungeni
Inakuwa kama mtaji wao kisiasa
Naunga mkono hojaKuna wabunge hawawezi kazi kabisa ila wanajua kupangilia maneno kweli. Wanaishi tu kwenye siasa za live bungeni kwakuzungumza mambo mazito kweli kweli na baadhi ni mahodari wa kudandia Hoja za wenzao.
Ukienda Jimboni kwake wananchi wake wanaishi kwenye dimbwi la umasikini, Hawa wabunge hawajitumi kabisa.
Hawaanzishi vikoba, Hawaanzishi miradi ya manufaa kwa wananchi wao,wana diplomatic passport lakini hwatafuti wafadhiri. Hebu tuwadhibiti kabisa waanze kufanya kazi Majimboni.
Napeeeeee futiilia mbali mbali mambo live wabunge wawe wanashinda kwa wananchi wakiwahudumia.
Kwani likiwa recorded huwezi kuangalia? Kama wewe ni mfuatiliaji huwezi kupitwa hata kama bunge halipo live, enzi hizi si kama zamani, kupata habari ni rahisi, na ndiyo maana wabunge wa upinzani waliposusia kikao cha bunge tulijua hata kama hawakuwa live.WE KILAZA KWELI,, SO WE UTAJUAJE KM MBUGE WAKO ANATETEA MAENDELEO JIMBONI KWAKO BILA KUANGALIA BUNGE.
"Unataka uonekane live kwani unatafuta mchumba? "Kikao cha bunge ni kikao cha kikazi sio mkutano na waandishi wa habari (press conference).kuna tofauti ya kikao cha kikazi na press conference! Wanaotaka kugeuza bunge kuwa press conference ambamo muda wote waandishi wa habari wamo hawako sahihi
Wabunge wakishakaa na kumaliza kazi ya siku ndio taarifa za yale muhimu ya kazi na matokeo waliyofikia yanawekwa hadharani na maofisa habari wa bunge
Taarifa hizo haziwi na vitu vya kipuuzi kama vile vya mbunge gani amemtukana waziri au mbunge fulani kwa kumwita Kibaka nk.Zinakuwa na zile taarifa muhimu tu za kazi waliyofanya kwenye vikao.
Ikumbukwe pia kuwa Vikao vya kamati za bunge huwa havirushwi Live sababu ni vikao vya kikazi.Na kikao cha bunge ni kikao kikuu cha kikazi sio press conference .Sasa hivi wabunge watafanya kazi barabara kuliko zamani ambapo mara ingine mtu anaomba kuchangia ili tu auze sura kwenye TV aonekane.Wachangiaji unakuta wako msururu wakipigania tu kuonekana!!! Sasa hivi bunge litakuwa na wachangiaji very serious ambao wana hoja za nguvu na si wauza sura kwenye TV
Bunge la Tanzania litakuwa bunge la mfano la kuigwa duniani kwani litatoka na vitu serious vilivyofanyiwa kazi barabara na wabunge serious na habari zitakazotolewa ni zile za HAPA KAZI TU na si zile za mara mbunge kapigwa picha anasinzia bungeni nk
Pia Kazi kuu ya mbunge (Major duty) ni kuleta maendeleo kwenye jimbo lake anakotokea na si kuongeaa sana na kuchonga sana mdomo bungeni na kuanika sura sana kwenye kamera za Televisheni akiwa bungeni.Kuna wabunge majimboni hata kuwaona na kuwakuta ofisini kwao majimboni ni shida.Wao husubiri tu muda ufike wa bunge wachonge midomo na kuuza sura kwenye TV.
Utajua pale utakapoyaona maendeleo jimboni kwakoWE KILAZA KWELI,, SO WE UTAJUAJE KM MBUGE WAKO ANATETEA MAENDELEO JIMBONI KWAKO BILA KUANGALIA BUNGE.