gen parton
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 642
- 407
kumbe kazini boss huku nyumbani stil single ngoja tu wako hajazaliwasasa hapa ndo unahisi umewaambia.. Povu kweli wewe.
kumbe kazini boss huku nyumbani stil single ngoja tu wako hajazaliwasasa hapa ndo unahisi umewaambia.. Povu kweli wewe.
Inaelekea unaishi sehemu yenye 'waswahili' sana!
Nahisi kama ni aina ya tangazo hivi ili mabinti wachangamkie fursaNimekuwa nikisikia mijadala pembeni kwa watu, mtaani wanahoji mbona sioi wakati mimi ni afsa serikalini na umri umeenda? wengine wanaenda mbali zaidi na kunichunguza napendelea mwanamke wa aina gani, leo kwa masikio yangu nikiwa nimejibanza kwenye kona nimemsikia jirani yangu wa kike akiongea na mwenzake, eti wanaambiana kwa nini tusimtafutie mbinu tumpe mke ukizingatia mtu mwenyewe ana bodaboda 2 na amejenga nyumba ya chumba na sebure? kwa kweli kwa uwezo huo mtaani kwetu wewe ni mtu wa kuheshimika, wanasema ikibidi hata kwa waganga waende tu, mmoja anakoleza kwa kusema tumechoka, sasa wamechoka vipi wakati hayawahusu. Sijui cha kufanya, napanga niwavae kuwaambia nimewasikia na waendelee na mpango wao ili kuwatisha.
mambo vp wangu....long time no see
Ukuye hana tatzo wamechoka kutombewa wadogo zao mtaani ndo maana wameunda tume
Nahisi kama ni aina ya tangazo hivi ili mabinti wachangamkie fursa
Apataye mke apata kitu chema....
Unaoa kwa manufaa yako wakati bado umri haujasogea, fanya haraka oa kabla ujaletewa!
Wamechoka kukaa kitaa bila kutongozwa na mabwana hawapo wakati bwana la ukweli upo!! Hehee Upo hapo!!
ukuye hana tatzo wamechoka kutombewa wadogo zao mtaani ndo maana wameunda tume