Nasumbuliwa na uvimbe wa nyama mdomoni kwenye mashavu kwa ndani ninapo tafuna chakula unakuta naumia sana kwani najing'ata ,naombeni msaada tafadhali kwani napata shida wakati wa kula sijui hata ni ugonjwa gani?
Nasumbuliwa na uvimbe wa nyama mdomoni kwenye mashavu kwa ndani ninapo tafuna chakula unakuta naumia sana kwani najing'ata ,naombeni msaada tafadhali kwani napata shida wakati wa kula sijui hata ni ugonjwa gani?
Pole kwa kuumwa!
Ushauri wangu:
1: Weka picha ya huo uvimbe niweze kuona
2: Kama hutoweza kuweka picha, nenda hospital ukamuone Daktari , preferably, Dental surgeon .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.