Jimbo letu tumefanikiwa kuondoa utawala wa ccm kuanzia madiwani mpaka mbunge wao na tunamiliki jimbo letu kihalali kabisa
kurudia uchaguzi hapa bara eti kisa uchaguzi umekuwa si wa haki kwa wabunge itakua ngumu saana, kwani hata hcho chombo kitakacho sikiliza hizo kesi kinaundwa na nani?[
Lakini mwisho wa ubabe umekaribia ogopa umemkosea mtu alafu amenyamaza mara nyingi hata km amekusamehe lakini hasahau kamwe. Wasione ukimya wa Ukawa wakadhani wamemaliza kazi.
ngoja 2xubir ili 2fahamu ni nin kitaendelea!
umeeleweka kaka, big up!
Mtanyooka na CCM yenu
ila njombe inajengeka fasta.mnatoa wapi pesa za kujengea mahoteli?
Mwalongo mwenyew anajua hap mjin hawampend
kwa katiba hii na tume hii hakuna sababu ya upinzani kushiriki uchaguzi maana kura haina maana yeyote,mbowe na timu yake wameshindwa kutupatia katiba mpya tume huru na kutupeleka kwenye uchaguzi bila tume huru katiba mbovu waachie ngazi
Huyu jamaa mwondoeni haraka hana lolote pamoja na rwenge bila kusahau jaha people yule darasa la sabaBinafsi, nina kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uzima mpaka muda huu.
Nikiwa kama mzaliwa na mkazi wa mkoa wa Njombe katika jimbo la Njombe Kusini, nimeumia saana kuona chama cha mapinduzi (CCM) kikimpeleka mgombea ubunge kupitia chama hicho bwana Mwalongo bungeni wakati chini ya aliyekuwa mbunge kupitia chama hicho Bi Anne Makinda kutofanya jambo lolote la maana katika jimbo letu.
Nilitumai kijana mwenzetu Masonga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) atuwakilishe wana wa Njombe Kusini bungeni.
2020 Tutajipanga Kimkakati kuuondoa utawala wa CCM katika jimbo la Njombe Kusini na kuivisha taji CHADEMA.
Wana bahati ya kuwa na viongozi wapumbafuuKiujumla Njombe ni shiiiiiiida ( In Komba's voice) kuna lile jimbo la Lupembe kuna kata Lupembe na Mfriga zina madiwani wa Hovyo kabisa haijawahi tokea No wonder why Njombe ipo ipo tu licha ya kuwa na Rasilimali nyingi wananchi wachapakazi lakini Maarifa 0
Kwa level ya Udiwani mie siamini kama kura huwa zinaibiwa.Ila mie nionacho na ka uzoefu kangu ka chaguzi kadhaa ni kuwa Watanzania tumerogwa na tuliporogwa kwenye Elimu.Tumekosa elimu.May be hiki kizazi kijacho cha shule za kata hata kama wanapata sifuri kinaweza tusaidiakwa katiba hii na tume hii hakuna sababu ya upinzani kushiriki uchaguzi maana kura haina maana yeyote,mbowe na timu yake wameshindwa kutupatia katiba mpya tume huru na kutupeleka kwenye uchaguzi bila tume huru katiba mbovu waachie ngazi