Wadau habari,nina mchumba wangu ambaye uchumba wetu ni wa miaka 3.Mimi ni mfanyabiashara yeye amemaliza chuo mwezi huu.Wakati anasoma chuo mimi ndio nilikua namsupport ada pamoja na mahitaji mengne.Naumia moyoni kwa sababu alipokua chuo na mpaka sasa uku nyumbani huwa anatabia ya kuchat na jamaa mmoja waliosoma wote kupita kiasi afu ni romatic chat.Kinachoniuma mm ni kwamba nimeshalipa mahari kwao na tutafunga ndoa miezi 5 ijayo why asichat na mimi mume wake mtarajiwa before hajafahamiana na uyo jamaa tulikua tunachat mpaka sasa 6 ucku.Je wadau hapo kuna upendo kweli?Au nimuoe afu nimpige taraka?.Naomba kuwasilisha.
[/QUOTE]Umeliwa, kapata msomi mwenzake hawezi olewa na mfanya biashara, ulikuwa wamlipia ADA Wewe Babake? Ujinga huo.
QUOTE=kashata;4306775]Wadau habari,nina mchumba wangu ambaye uchumba wetu ni wa miaka 3.Mimi ni mfanyabiashara yeye amemaliza chuo mwezi huu.Wakati anasoma chuo mimi ndio nilikua namsupport ada pamoja na mahitaji mengne.Naumia moyoni kwa sababu alipokua chuo na mpaka sasa uku nyumbani huwa anatabia ya kuchat na jamaa mmoja waliosoma wote kupita kiasi afu ni romatic chat.Kinachoniuma mm ni kwamba nimeshalipa mahari kwao na tutafunga ndoa miezi 5 ijayo why asichat na mimi mume wake mtarajiwa before hajafahamiana na uyo jamaa tulikua tunachat mpaka sasa 6 ucku.Je wadau hapo kuna upendo kweli?Au nimuoe afu nimpige taraka?.Naomba kuwasilisha.
Good idea nataka nikishamuoa nimpige mimba 2 za haraka nitakua nimeshamkatia network zote