King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Painful truth: labda ur chats are no longer interesting? Jamani kuna watu hawajui kuchat, na wanang'ang'ania tu mnaishia kuboana!
Well, zungumza nae. Muulize kama wewe ukiwa na mdada wa kuchat nae romantically kama anavyofanya atamind? Muambie unamiss kuchat na yeye like before. Lakini kama hatojali utajiruhusu kuchat na mdada mwingine ili usiendelee kuumia. Kumpa mtu anywe dawa aliyotengeneza really works, trust me!
Naomba nikuhakikishie, hizo mimba 6 za chapchap (kama hatokuzidi maarifa) haziwezi kumzuia kufanya anachotaka.
Well, zungumza nae. Muulize kama wewe ukiwa na mdada wa kuchat nae romantically kama anavyofanya atamind? Muambie unamiss kuchat na yeye like before. Lakini kama hatojali utajiruhusu kuchat na mdada mwingine ili usiendelee kuumia. Kumpa mtu anywe dawa aliyotengeneza really works, trust me!
Naomba nikuhakikishie, hizo mimba 6 za chapchap (kama hatokuzidi maarifa) haziwezi kumzuia kufanya anachotaka.