Habari za saa hizi. Naulizia mtu anayefahamu au anayefanya biashara ya vitu vya hotel nikamanisha zile chupa ndogo za shampoo, shower gel, sabuni ya kawaida, na dawa ya mswaki na je anaweza supply zikiwa na jina la hoteli stahiki akipewa? Location ya hoteli ni Dar es salaam. Kama upo na una sample ni vyema ukaambatanisha.
Natanguliza shukrani zangu.
Natanguliza shukrani zangu.