nauliza

nauliza

Kalleya

Member
Joined
Oct 3, 2018
Posts
28
Reaction score
13
kwa aliyewahi kutumia vumbi la Congo, anidokeze alipataje, na jinsi ya kutumia.
 
Kwangua chungu cha ugari, ule unga mweusi ndio unga wa kongo.
 
kwa aliyewahi kutumia vumbi la Congo, anidokeze alipataje, na jinsi ya kutumia.
Hili swali tangu jana umekomaa nalo.

Kiufupi: nilienda Kongo kwenye biashara zangu na nikabahatika kuambiwa juu ya vumbi hilo nikaona nichukue na nijaribu. Hali ilikuwa nzuri sana na hadi sasa lingine nauza.
 
Ushaambiwa vumbi la kongo, sasa si linapatikana nchini Congo

Kwa anayetaka vumbi la Tanzania ani DM.
 
Hili swali tangu jana umekomaa nalo.

Kiufupi: nilienda Kongo kwenye biashara zangu na nikabahatika kuambiwa juu ya vumbi hilo nikaona nichukue na nijaribu. Hali ilikuwa nzuri sana na hadi sasa lingine nauza.

mkuu, niambie namna ya kutumia
 
Pole sana tatizo lako la ukosefu wa nguvu limekuanza lini?
 
Back
Top Bottom