nauliza wakubwa

nauliza wakubwa

wida

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
247
Reaction score
40
hasara za kumpenda mwanafunzi&faida zake?
 
hasara za kumpenda mwanafunzi&faida zake?

hii ni thread ya pili ndani ya dakika 10 na zote ni thread za kipumbavu.

usilivamie jukwaa kwa pupa hivi kaa pembeni soma thread za wengine na ujifunze how to think big. anza kwa kuchangia kidogo kidogo thread wengine mpaka ukishakomaa na wewe nldio uamze kuanzisha thread zenye akili.
 
hii ni thread ya pili ndani ya dakika 10 na zote ni thread za kipumbavu.

usilivamie jukwaa kwa pupa hivi kaa pembeni soma thread za wengine na ujifunze how to think big. anza kwa kuchangia kidogo kidogo thread wengine mpaka ukishakomaa na wewe nldio uamze kuanzisha thread zenye akili.

frexh mzazi
 
Faida zake ni kupata chakula na malazi bure kwa miaka isiyopungua 30.
 
Back
Top Bottom