The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Huyo jamaa hajiamini, na either ni kicheche mshamba! huwezi kumuita wa ubani wako dem.
kamusi ya kiswahili kwanza inasema demu ni pira la kusambazia mafuta!!
hata ingekuwa mimi nisingefurahi!!! na ndio ingekuwa mwisho wangu na yy!!
kamusi ya kiswahili kwanza inasema demu ni pira la kusambazia mafuta!!
hata ingekuwa mimi nisingefurahi!!! na ndio ingekuwa mwisho wangu na yy!!
Neno DEMU ni kifupi cha maana fulani ambayo ni Daima Epuka Mapenzi Utotoni, hivyo basi kabinti chochote katakachowahi kujiingiza kwenye mapenzi jina linalomstahili ni DEMU.
Umenigusa kwa roho silipendi hilo jina mimi
Jamani mimi labda nina mawashawasha machoni,nimesoma mada na kuirudia mara mbili,kweli kabisa sioni tatizo,tatizo ni nini hasa?Susy , LD hebu nifafanulieni kinagaubaga.Natanguliza shukrani.
dena umesahau wewe unavyotuita? mara kibajaji mgeni wa vinguguti mara mchati danga, kuitwa dem wote mnapiga kelele poleni
Ha ha ha ha ATM, Sharobaro nk ila umenisingizia mie siwaiti hivyo bana mie ujue nawaheshimu na kuwapenda sina chuki na mtu wala kinyongo bora heshima tu mambo ya demu no big no
Ahsante Smasher nimeelewa,ila nia na madhumuni ya kukasirika ukiitwa dem siioni maana na sisi wanatupa majina kibao na hatununi mara watuite buzi mara ATM sisi tumenyamaza tu.Tatizo ni Binti huyu kuitwa DEMU ndo kilichokuwa kizaazaa hapo PUB!!!