Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
Habari za mchana wanajamii?? mie napenda kuulizia kama ile taa ya powerpoint in certain life span na baada ya muda ni lazima ife? if so ni replaceable? na kama ni hivyo vipi upatikanaji wake kwa hapa Bongo?? natanguliza shukurani za dhati