Nauli za ndege..!

Chimemena

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,376
451
Wadau naomba kujuzwa kuhusu nauli ya ndege toka Arusha to Dar es salaam. Kwa wale waliowahi kusikia au kusafr kwa ndege naomba msaada wenu. Nataka kuja dar kesho kuna ndugu yangu kafariki ghafla.
 
Arusha Dar ni 196,000/= kampuni mpya ya Safari Plus!
Kitu ni ya ukweli, full video, wireless ear4ns, fly-time 50min, very comfortable!
Sema nikuunganishe fasta!
 
Hili ni jukwaaa la teknolojia sasa nauli na teknolojia wapi na wapi.?

Tumuia teknolojia kupata jibu. google neno precisison air tanzania au air tanzania the utapata number then piga simu then uliza wahusika.

Mfano unaweza kupata taarifa zote hapa
http://www.precisionairtz.com/.
 
<font color="#b22222"><font size="3">Hili ni jukwaaa la teknolojia sasa nauli na teknolojia wapi na wapi?

Tumuia teknolojia kupata jibu. <b>google</b> neno precisison air tanzania au air tanzania the utapata number then piga simu then uliza wahusika.

Samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.
 
<br />
<br />
samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.
Mkuu,
Pole sana.
Nimekupa jibu hapo juu sijui kama umelisoma!..Kwanini uanze malumbano na watu badala ya kusolve tatizo?
Kama uko serious ingia PM nikupe options kibao za kufika Dar haraka, hata leo hii!
Achana na wasanii kama umefiwa bana!
Mimi niko Arusha!
 
pole sana kwa kufiwa na mlezi wako mwenyezi mungu akupe moyo wa subra na amlaze Marehemu mahala pema.
 
Mkuu, <br />
Pole sana.<br />
Nimekupa jibu hapo juu sijui kama umelisoma!..Kwanini uanze malumbano na watu badala ya kusolve tatizo?<br />
Kama uko serious ingia PM nikupe options kibao za kufika Dar haraka, hata leo hii!<br />
Achana na wasanii kama umefiwa bana!<br />
Mimi niko Arusha!
<br />
<br />
nimeku PM Pjmmy naomba msaada wako.
 
Samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.

Duh mkuu Pole sana mkuu sasa hayo maelezo yote kweli unahitaji msaada. kama vipi we songa mbele uwanja wa ndege na kibegi chako na mshiko. Utapata usafiri na hata lifti sometime ya bei chee
 

Duh mkuu Pole sana mkuu sasa hayo maelezo yote kweli unahitaji msaada. kama vipi we songa mbele uwanja wa ndege na kibegi chako na mshiko. Utapata usafiri na hata lifti sometime ya bei chee[/QUOTE]


mmmmhhhhhh acheni masihara saa nyingine.
 

Duh mkuu Pole sana mkuu sasa hayo maelezo yote kweli unahitaji msaada. kama vipi we songa mbele uwanja wa ndege na kibegi chako na mshiko. Utapata usafiri na hata lifti sometime ya bei chee[/QUOTE]


mmmmhhhhhh acheni masihara saa nyingine.


Sio masihara kabisa kwa mkoa kama Arusha , Mwanza au hata dar ukiwa na issue ya ghafla we nenda tu uwanja wa ndege mradi uwe na nauli na nakumbia unaweza kupata hata lift. ya bei chee. kama sio lift ta bei chee utakwaaaa usafiri kwa bei ya soko. Kuna siku watu wanapiga safari za dar mwanza smetime kwa elfu 50,000 kwa ndege za JW. Au unakuta ndege haijaiajaaa wafanyakazi wa ndege unamkatia kitu kidogo......

Wafanyakazi wa mashirika ya ndege sometime wana punguzo la bei wao na ndugu zao............So akipretend........ Sio masihara ukisikia Ridhwani alisema tunaishi kimjini mjini ndio hivyo
 
Sio masihara kabisa kwa mkoa kama Arusha , Mwanza au hata dar ukiwa na issue ya ghafla we nenda tu uwanja wa ndege mradi uwe na nauli na nakumbia unaweza kupata hata lift. ya bei chee. kama sio lift ta bei chee utakwaaaa usafiri kwa bei ya soko. Kuna siku watu wanapiga safari za dar mwanza smetime kwa elfu 50,000 kwa ndege za JW. Au unakuta ndege haijaiajaaa wafanyakazi wa ndege unamkatia kitu kidogo......

Wafanyakazi wa mashirika ya ndege sometime wana punguzo la bei wao na ndugu zao............So akipretend........ Sio masihara ukisikia Ridhwani alisema tunaishi kimjini mjini ndio hivyo
Guys,
Forget about this Puuuu or whatever he/she calls him/herself, i hv come to realize that s/he is a very serious joker!
I was on my way to do something for him/her but has ended on screwing me up on a PM!
Anyway, i dont know his/her age, so i cross my fingers!
 
Guys,
Forget about this Puuuu or whatever he/she calls him/herself, i hv come to realize that s/he is a very serious joker!
I was on my way to do something for him/her but has ended on screwing me up on a PM!
Anyway, i dont know his/her age, so i cross my fingers!


Mimi nimejua tu hawezi kuwa yuko sawa hata kama ni kufiwa........... Maelezo yake tu yalitosha nijue ni mtu wa namna gani. Endeela na moyo huo huo usiichoke kiwasaidia watu . Huyo jamaa sasa ndio msanii wale walikuwa wanamjibu sio wasanii kama ulivyodhani mwanzo.
 
&lt;font color=&quot;#b22222&quot;&gt;&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;Hili ni jukwaaa la teknolojia sasa nauli na teknolojia wapi na wapi?<br />
<br />
Tumuia teknolojia kupata jibu. &lt;b&gt;google&lt;/b&gt; neno precisison air tanzania au air tanzania the utapata number then piga simu then uliza wahusika. <br />
<br />
Samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.
Pole kwa kufiwa !
Itabidi ukapande ndege Jro/Kia.
Kutokea Ars lazima upande shuttle kutegemea ndege . Nliwahi kupanda ndege za Atcl nlianzia shuttle town karib ya Posta au mnara wa saa hadi Kia. Kwa sasa nimesahau nawli zao maana kuna muda pia nlipanda Precision Air...nao wanazo shuttle zao ila nawl ni kati ya 168,500/- bila kusahau unaweza ambiwa muda RT ukiwa uwanjani ukapewa excuse kua ndege itachelewa! Hivyo hakuna kulalamika na ukasikilizwa. Kama ulipanga uwahi ukajikuta umechelewa japo ni usafir wa haraka kufika kuliko magari.
 
Guys,
Forget about this Puuuu or whatever he/she calls him/herself, i hv come to realize that s/he is a very serious joker!
I was on my way to do something for him/her but has ended on screwing me up on a PM!
Anyway, i dont know his/her age, so i cross my fingers!

atakuwa p*#@**u sana basi kama imekuwa hivyo.....watu wana moyo wa kusaidia yeye analeta mchezo....kaniuzi sana
 
atakuwa p*#@**u sana basi kama imekuwa hivyo.....watu wana moyo wa kusaidia yeye analeta mchezo....kaniuzi sana


hahhahaha P habari ya masiku mamiiiii.??????? siku nyingi sijaona mwandiko wako. Hope uko bomba. na mimi nimefiwa na bibi mzaaa bibi naomba mchango wako nipate nauli ya ndege dar -moro
 
Wadau naomba kujuzwa kuhusu nauli ya ndege toka Arusha to Dar es salaam. Kwa wale waliowahi kusikia au kusafr kwa ndege naomba msaada wenu. Nataka kuja dar kesho kuna ndugu yangu kafariki ghafla.

Kaka unauliza nauli za ndege wakati hatuna ndege tanzania? shilika letu lilishauzwa ila wamebaki wafanyakazi tu na mabosi wao wanatembelea magari ya kifahari wakati no income
 
Back
Top Bottom