<font color="#b22222"><font size="3">Hili ni jukwaaa la teknolojia sasa nauli na teknolojia wapi na wapi?
Tumuia teknolojia kupata jibu. <b>google</b> neno precisison air tanzania au air tanzania the utapata number then piga simu then uliza wahusika.
Samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.
Mkuu,<br />
<br />
samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.
<br />Mkuu, <br />
Pole sana.<br />
Nimekupa jibu hapo juu sijui kama umelisoma!..Kwanini uanze malumbano na watu badala ya kusolve tatizo?<br />
Kama uko serious ingia PM nikupe options kibao za kufika Dar haraka, hata leo hii!<br />
Achana na wasanii kama umefiwa bana!<br />
Mimi niko Arusha!
Samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.
Duh mkuu Pole sana mkuu sasa hayo maelezo yote kweli unahitaji msaada. kama vipi we songa mbele uwanja wa ndege na kibegi chako na mshiko. Utapata usafiri na hata lifti sometime ya bei chee[/QUOTE]
mmmmhhhhhh acheni masihara saa nyingine.
Duh mkuu Pole sana mkuu sasa hayo maelezo yote kweli unahitaji msaada. kama vipi we songa mbele uwanja wa ndege na kibegi chako na mshiko. Utapata usafiri na hata lifti sometime ya bei chee[/QUOTE]
mmmmhhhhhh acheni masihara saa nyingine.
Sio masihara kabisa kwa mkoa kama Arusha , Mwanza au hata dar ukiwa na issue ya ghafla we nenda tu uwanja wa ndege mradi uwe na nauli na nakumbia unaweza kupata hata lift. ya bei chee. kama sio lift ta bei chee utakwaaaa usafiri kwa bei ya soko. Kuna siku watu wanapiga safari za dar mwanza smetime kwa elfu 50,000 kwa ndege za JW. Au unakuta ndege haijaiajaaa wafanyakazi wa ndege unamkatia kitu kidogo......
Wafanyakazi wa mashirika ya ndege sometime wana punguzo la bei wao na ndugu zao............So akipretend........ Sio masihara ukisikia Ridhwani alisema tunaishi kimjini mjini ndio hivyo
Guys,Sio masihara kabisa kwa mkoa kama Arusha , Mwanza au hata dar ukiwa na issue ya ghafla we nenda tu uwanja wa ndege mradi uwe na nauli na nakumbia unaweza kupata hata lift. ya bei chee. kama sio lift ta bei chee utakwaaaa usafiri kwa bei ya soko. Kuna siku watu wanapiga safari za dar mwanza smetime kwa elfu 50,000 kwa ndege za JW. Au unakuta ndege haijaiajaaa wafanyakazi wa ndege unamkatia kitu kidogo......
Wafanyakazi wa mashirika ya ndege sometime wana punguzo la bei wao na ndugu zao............So akipretend........ Sio masihara ukisikia Ridhwani alisema tunaishi kimjini mjini ndio hivyo
Forget about this Puuuu or whatever he/she calls him/herself, i hv come to realize that s/he is a very serious joker!
I was on my way to do something for him/her but has ended on screwing me up on a PM!
Anyway, i dont know his/her age, so i cross my fingers!
Guys,
Forget about this Puuuu or whatever he/she calls him/herself, i hv come to realize that s/he is a very serious joker!
I was on my way to do something for him/her but has ended on screwing me up on a PM!
Anyway, i dont know his/her age, so i cross my fingers!
Pole kwa kufiwa !<font color="#b22222"><font size="3">Hili ni jukwaaa la teknolojia sasa nauli na teknolojia wapi na wapi?<br />
<br />
Tumuia teknolojia kupata jibu. <b>google</b> neno precisison air tanzania au air tanzania the utapata number then piga simu then uliza wahusika. <br />
<br />
Samahani sana mkuu kwa kupotea njia. Niwie radhi nimechanganyikiwa na kufiwa na mlezi wangu mtegemezi wa maisha yangu kafariki saa 8 asubuhi hii kwa ajali. Sijui hata nisemeje coz wazazi wangu walidied since 2000.
Itabidi ukapande ndege Jro/Kia.
Kutokea Ars lazima upande shuttle kutegemea ndege . Nliwahi kupanda ndege za Atcl nlianzia shuttle town karib ya Posta au mnara wa saa hadi Kia. Kwa sasa nimesahau nawli zao maana kuna muda pia nlipanda Precision Air...nao wanazo shuttle zao ila nawl ni kati ya 168,500/- bila kusahau unaweza ambiwa muda RT ukiwa uwanjani ukapewa excuse kua ndege itachelewa! Hivyo hakuna kulalamika na ukasikilizwa. Kama ulipanga uwahi ukajikuta umechelewa japo ni usafir wa haraka kufika kuliko magari.
Guys,
Forget about this Puuuu or whatever he/she calls him/herself, i hv come to realize that s/he is a very serious joker!
I was on my way to do something for him/her but has ended on screwing me up on a PM!
Anyway, i dont know his/her age, so i cross my fingers!
atakuwa p*#@**u sana basi kama imekuwa hivyo.....watu wana moyo wa kusaidia yeye analeta mchezo....kaniuzi sana
atakuwa p*#@**u sana basi kama imekuwa hivyo.....watu wana moyo wa kusaidia yeye analeta mchezo....kaniuzi sana
Wadau naomba kujuzwa kuhusu nauli ya ndege toka Arusha to Dar es salaam. Kwa wale waliowahi kusikia au kusafr kwa ndege naomba msaada wenu. Nataka kuja dar kesho kuna ndugu yangu kafariki ghafla.