kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Habari za majukumu wadau wa JF! Natumaini mko poa na mnaendelea kupambana na hali zenu.
Lengo langu ni kutaka kujua nauli ya Dar to Moshi kwa basi ni sh ngapi kwa sasa?
Pia nataka kujua kama kuna gesti ama lodge ambazo zipo karibu na hospitali ya KCMC ama ni lazima nitokee town kwenda huko? Ntakuwepo kwa siku kadhaa.
Natanguliza shukrani za dhati.
Lengo langu ni kutaka kujua nauli ya Dar to Moshi kwa basi ni sh ngapi kwa sasa?
Pia nataka kujua kama kuna gesti ama lodge ambazo zipo karibu na hospitali ya KCMC ama ni lazima nitokee town kwenda huko? Ntakuwepo kwa siku kadhaa.
Natanguliza shukrani za dhati.