IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Salamu wana JF.
Hivi huwa tuko sahihi tunavyotumea neon Maliasili kumaanisha Natural Resource au tulipaswa kutumia maneno Rasilimali Asili?
Wataalamu wa Kiswahili tafadhal
Hivi huwa tuko sahihi tunavyotumea neon Maliasili kumaanisha Natural Resource au tulipaswa kutumia maneno Rasilimali Asili?
Wataalamu wa Kiswahili tafadhal