Natoa ushauri wa masuala ya kodi bure (hulipi hata sumni)

Natoa ushauri wa masuala ya kodi bure (hulipi hata sumni)

tax compliant

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
1,211
Reaction score
1,200
Wakuu habarini za jioni?

Mimi ni muhitimu (bachelor in taxation) na nina uzoefu sana na sheria za kodi kwani mbali na kuzisoma kinagaubaga darasani kwa miaka mitatu pia nimefanya kazi na TRA hivo ninapenda kuwatangazia wale wote wanaojishughulisha na biashara au kazi zinazohusisha kodi kuwa natoa ushauri buuureee (free tax consultancy) ili kupunguza usumbufu na mamlaka husika lakini pia kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara! Hii ni kwa sheria za kodi zote (EACCMA, VAT Act, INCOME TAX Act, TAX ADMINISTRATION Act lakini pia Finance act Re 2015).
Karibuni PM
 
Sawa......

Mnakadiriaje kodi kwa wafanya biashara kwa mfumo wa huduma na si bidhaa.........mfano consultancy....
 
Sawa......

Mnakadiriaje kodi kwa wafanya biashara kwa mfumo wa huduma na si bidhaa.........mfano consultancy....

Kinachozingatiwa ni annual turnover (pato lako la mwaka) then unalipa kulingana na batch utakayoangukia, (VAT& Income tax). This is too general kulingana na namna ulivyouliza(too general)
 
Sawa......

Mnakadiriaje kodi kwa wafanya biashara kwa mfumo wa huduma na si bidhaa.........mfano consultancy....
Mind you huduma (services) zinakuwa considered as any other business (income tax act s(7)) ile income unayopata kutokana na service yako ( kwenye act inaitwa "service fee") ndio inayokuwa considered (let alone allowable deductions).
 
Back
Top Bottom