Natoa ushauri juu ya kuomba vyuo

Natoa ushauri juu ya kuomba vyuo

FATHER OF HISTORY

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
947
Reaction score
669
Wanajukwaa Habari.
NATOA huduma ya USHAURI juu ya KUOMBA Na kuchagua kozi za kusoma vyuo Vikuu,Diploma Na Cheti.
Nitakupa USHAURI kulingana Na ufaulu Na sifa zako sitahiki katika Chuo husika.
Jambo la msingi uwe unaufaulu unaotakiwa.Kwa waombaji wa kidato cha Nne Ni vizuri uwe angalau Na D 4 ufaulu wako.
Wenye sifa pungufu ya hapo watashauriwa mafunzo Na kozi wanazoweza KUOMBA.
Vyuo vyote vya ndani ya nchi Na nje ya nchi tunatoa USHAURI.
Wale wenye kuhitaji scholarships pia tunatoa USHAURI hasa,nchi,sifa,umri,na jinsi ya kufanya mtihani wa lugha ya kiingereza ambayo Ni mhimu Sana,kadhalika agencies zinazotoa udhamini kila mwaka.
Kwa maelezo zaidi wasilianeni nami Kwa:
mamboleongoroto@yahoo.com
+255684220821;+255755639809
 
nina div 1 point 9 ya PCB
je naweza kupata nafsi ya kusomea udaktari wa binadamu MUHAS ?
 
Mara nyingi huwa Udaktari wanataka point 7,ushindani Ni mkubwa,jitahidi usome mwongozo vizuri,ila pale Sua kuna kozi nzuri pia.
Nitumie alama zako nione ili nije wapi unafit
 
Mara nyingi huwa Udaktari wanataka point 7,ushindani Ni mkubwa,jitahidi usome mwongozo vizuri,ila pale Sua kuna kozi nzuri pia.
Nitumie alama zako nione ili nije wapi unafit
SIYO POINTS 7....NI POINTS 8 yani DCC kwenye PCB...
Pia kwa hzo points zake atapata MD kwa vyuo vya privates tu.MUHAS asahau kupata labda kozi zingine kama nursing,lab n.k
 
brother muhas kupata md atleast upate point ngap kulingana na ushindani uliopitia
 
Natak niapply bachelor of arts in economics ni vigezo gani wanaangalia na kozi yenyewe ina competition sana au
 
Naomba ushauri, nimepata division three ya 13, PCB Nina physics E, chemistry D, Biology D, Bam&Gs F, nina uwanja wa kusoma program zipi na kwa vyuo VIP, msaada please, nimehitimu mwaka huu
 
Naomba ushauri, nimepata division three ya 13, PCB Nina physics E, chemistry D, Biology D, Bam&Gs F, nina uwanja wa kusoma program zipi na kwa vyuo VIP, msaada please, nimehitimu mwaka huu
Angalia SUA kule.
 
Angalia SUA kule.
Msaada please
Phy-E Chem-D Bio-D nisome programme gani ambayo nitafanikiwa kupata mkopo kirahisi na ina soko kubwa la ajira.
Mapendekezo yako mkuu tunayahitaji
Hint.
Ualimu sitaki kusoma.
 
naomba msaada ICT and programing engineering inahusiana na nn
ICT ni maswala ya information and communication technology..utajifunza vitu kama networks, databases , internet programming nk.
Ila programming engineering hii inahusiana na. Uhandisi Wa code, utasoma zaidi maswala ya software development, ikiwa ni pamoja na kusoma programming language kama c # ,c++, java , php, HTML,CSS,java script, nk
Also utaoma internet programming, networks , databases nk
 
Back
Top Bottom