NATO sees no sign of Russian pullback from Ukraine border

NATO sees no sign of Russian pullback from Ukraine border

Mkuu bora uje unisaidie!! Maana kuna watu wabishi Sana!! Russia hawezi pigana na NATO the same time america! Atapotea!! Marekani na nato ndo wababe!! Kama kweli yeye ni kidume awaache NATO na USA waingie Kiev aone moto wake!! Mbona hajiwahi ilihali yeye kidume?? Hawa jamaa wako advanced sana kwenye Tech!!!![

Russia is going to be international isolated, sasa marafiki zake china, North Korea will be able to defeat the whole world? Nato ni alliance ya european countries, then ujumlishe USA, eti ni dume atawaweza? Kuna nchi inazidi USA technology kwenye jeshi?
usijokijua ni kwamba rusia ana makombora yanayoweza kuteketeza si marekani tu,lakini dunia nzima ndani ya dakika 30 tu,mbaya zaidi kuna system inaitwa a dead man hand.(google).

Ni kuwa makombora yako programmed kuvyatuliwa kila siku,kwa maana kuwa ili yasivyatuke kila siku lazima waingize password ili yasi launch.so hata kama warusi wote wamekufa,makombora yanajifyatua yenyewe kinachofuata ni nuclear winter.
 
usijokijua ni kwamba rusia ana makombora yanayoweza kuteketeza si marekani tu,lakini dunia nzima ndani ya dakika 30 tu,mbaya zaidi kuna system inaitwa a dead man hand.(google).

Ni kuwa makombora yako programmed kuvyatuliwa kila siku,kwa maana kuwa ili yasivyatuke kila siku lazima waingize password ili yasi launch.so hata kama warusi wote wamekufa,makombora yanajifyatua yenyewe kinachofuata ni nuclear winter.

Marekani inaweza ku intercept any kind of biological attack, ndiyo maana imetuma spy dunia nzima kujua aina gani weapon mahafidhina wao wana develop... Usitudanganye beana
 
USA inajua kila aina ta weapom china, russia, north korea walizotengeneza kwahiyo USA inajua kila mchezo, tuombe Mungu vita isitokee maana sisi ndo tutakoumia
 
usijokijua ni kwamba rusia ana makombora yanayoweza kuteketeza si marekani tu,lakini dunia nzima ndani ya dakika 30 tu,mbaya zaidi kuna system inaitwa a dead man hand.(google).

Ni kuwa makombora yako programmed kuvyatuliwa kila siku,kwa maana kuwa ili yasivyatuke kila siku lazima waingize password ili yasi launch.so hata kama warusi wote wamekufa,makombora yanajifyatua yenyewe kinachofuata ni nuclear winter.

Elugata mkuu wangu Russia wangekua na hayo makombola america wasingekua na ubabe!!!
 
Marekani inaweza ku intercept any kind of biological attack, ndiyo maana imetuma spy dunia nzima kujua aina gani weapon mahafidhina wao wana develop... Usitudanganye beana
a typical russian nuclear missile has about 10 warhead and 40 decoys.For america to stop just one of these missile,a manned Aegis anti missile system would have to acguire a target and shoot down 50 warheads,travelling at mach 23 in less than 40 seconds.THAT IS JUST ONE ICBM,then it would have to defeat the MISSILE COUNTER MEASSURE which include the 40 decoys realesed in space confusing ground radar,radar jammer on the warheads and decoy and last but not least,a deliberate nuclear detonation in space to create a radar blackout zone that would allow the next missile to pass through udetected.

THAT IS WHY THERE IS NO ANY MISSILE DEFENCE WHICH CAN COUNTER THAT.
It is pointless.
 
Elugata mkuu wangu Russia wangekua na hayo makombola america wasingekua na ubabe!!!
wewe kiboko,unabishana na wikipedia?.anyway kama vita itakuwepo na maana kuna makubaliano ya MAD(Mutual Assured Destruction).

Nadhani hata hilo hujapata sikia.
Ni kuwa endapo marekani na russia zikapigana,kitachofuata ni maangamizi ya nchi zote mbili ,ulaya yote,asia zinakua majivu.
 
Mkuu bado niko na wewe, hv marekani hawana haya makombola?? Huwezi mtunishia msuli mwenye nguvu!! Marekani angekua keshaomba poo!! Marekani wanayo tena very advanced compared with Russia!!
usijokijua ni kwamba rusia ana makombora yanayoweza kuteketeza si marekani tu,lakini dunia nzima ndani ya dakika 30 tu,mbaya zaidi kuna system inaitwa a dead man hand.(google).

Ni kuwa makombora yako programmed kuvyatuliwa kila siku,kwa maana kuwa ili yasivyatuke kila siku lazima waingize password ili yasi launch.so hata kama warusi wote wamekufa,makombora yanajifyatua yenyewe kinachofuata ni nuclear winter.

Elugata mkuu wangu Russia wangekua na hayo makombola america wasingekua na ubabe!!!
 
wewe kiboko,unabishana na wikipedia?.anyway kama vita itakuwepo na maana kuna makubaliano ya MAD(Mutual Assured Destruction).

Nadhani hata hilo hujapata sikia.
Ni kuwa endapo marekani na russia zikapigana,kitachofuata ni maangamizi ya nchi zote mbili ,ulaya yote,asia zinakua majivu.

Mkuu labda nikuambie kitu kimoja hakuna nchi inayoweza kuweka Google au Wikipedia siri zake za kijeshi!!! Hata tz hatuwezi weka!! Leo hii ukigoogle top ten powerfully military utapata majibu mengi Sana!! Mara USA,Mara Russia,china,India!! But ukweli hakuna taifa linye kuweza kuipiga america! Labda waungane Russia,china,India na wengine
 
US anapiga Mayowe sna sana lakini mkumbuke wengi hapa tunaangalia habari za hawa hawa Magaidi wa NATO NA US, mana vyombo vyoote vya habari ni vyao, hebu nnitajieni Media house iliyo fair, zooote ni mouth piece za hawa jaamaa, Putin ni kachero aliyebobea haongei yeye ni vitendo baaasi///na ameshawambia Ukraine hakuna kujiunga NATO mbona hawajiungi??!! wakijiunga anaichukua yoote baasi...
 
USA inajua kila aina ta weapom china, russia, north korea walizotengeneza kwahiyo USA inajua kila mchezo, tuombe Mungu vita isitokee maana sisi ndo tutakoumia
same applied to russia,wanajua kila aina ya silaha ilizo nazo marekani na wana plan ya cha kufanya for any eventulity.
 
Majeshi au wanajeshi?? Maana sizan kama kuna majeshi 40,000
Kingine mkuu wangu kua na wanajeshi karibu na Kiev sio tatxo
Kumbuka siku hizi wenzetu wanatumia advanced tech ambayo yaweza kuwang'oa hao wanajeshi wako 40,000 within a month!!

mbona mnamtukuza sana marekani? Kwanza mwenyew kaona mziki wa Urus haupimiki ndio maana anapiga kelele tu. Mbona Afughanstan na Iraq hakuwachelewesha?! Urusi haiko kama unavyoidhania ww hata marekan mwenyew analitambua hlo ndio maana anajitahid kushirikiana na Nato lakin hata wao wanagwaya
 
Mkuu labda nikuambie kitu kimoja hakuna nchi inayoweza kuweka Google au Wikipedia siri zake za kijeshi!!! Hata tz hatuwezi weka!! Leo hii ukigoogle top ten powerfully military utapata majibu mengi Sana!! Mara USA,Mara Russia,china,India!! But ukweli hakuna taifa linye kuweza kuipiga america! Labda waungane Russia,china,India na wengine
hivi unajua kuwa Talibani ni kikundi cha wachunga mbuzi wasiofika hata 30,000?.lakini marekani wamepigana nao tangu mtoto anazaliwa hadi anaingia la saba,miaka 13,mpaka leo hawajawamaliza?.taliban wanatumia bunduki ya kichovu Ak 47.sasa kama wanawashindwa taliban ,anampigaje mrusi hata kwa convetional weapons?.

Kwa upande wa russia walipigana na well armed chechniya,ndani ya miezi michache wakawasalambalatisha.
Marekani hajapigwa na wakulima wa mipunga kule vietnam?.
 
mbona mnamtukuza sana marekani? Kwanza mwenyew kaona mziki wa Urus haupimiki ndio maana anapiga kelele tu. Mbona Afughanstan na Iraq hakuwachelewesha?! Urusi haiko kama unavyoidhania ww hata marekan mwenyew analitambua hlo ndio maana anajitahid kushirikiana na Nato lakin hata wao wanagwaya

Mkuu nazan unaelewa kabisa!! Vita inahitaji pesa za kutosha!! Na marekani hataki kwenda vitan sasa hv,maana akienda tu huko ,china ndo atakua superpower! Hv unazan NATO, USA wazichape na Russia,nani ataibuka kidume??
 
you seem to have limited knowledge of the US military and economic supremacy in the world.If we Would make comparison on military and economic supremacy,US is the most powerful country both military and economically in the world.

At present,US and her European allies believe that the diplomatic solution can settle the Russia-Ukraine Crisis.
 
hivi unajua kuwa Talibani ni kikundi cha wachunga mbuzi wasiofika hata 30,000?.lakini marekani wamepigana nao tangu mtoto anazaliwa hadi anaingia la saba,miaka 13,mpaka leo hawajawamaliza?.taliban wanatumia bunduki ya kichovu Ak 47.sasa kama wanawashindwa taliban ,anampigaje mrusi hata kwa convetional weapons?.

Kwa upande wa russia walipigana na well armed chechniya,ndani ya miezi michache wakawasalambalatisha.
Marekani hajapigwa na wakulima wa mipunga kule vietnam?.

mkuu Elungata umeeleza kiundani na kisomi zaidi lakin huyu bwana ni mbishi sijapata kuona na anaonesha hanauelewa wa kitu anachokibishia zaidi ya ushabiki wa vijiwen
 
ukweli ni kwamba,Amerika na mataifa mengine makubwa duniani wamejifunza athari za vita.Katika vita kuu vya dunia vya kwanza na vya pili mataifa yote yaliyoshiriki yalipata hasara kubwa.Washindi wakiongozwa na Uingereza na marekani,walipata hasara.Waliopoteza vita wakiongozwa na ujeruma na Austria Hungary walipata hasara kubwa.
Kwa sasa,Marekani na washirika wake wa Ulaya,wanaota hakuna sababu ya kupigana vita na taifa la urusi.Wanatoa njia za kidiplomasia kwanza kuepusha dunia kuingia katika balaa la vita.Ni busara tu.Uwezo wa kivita wa NATO ni mkubwa sana.Russia wanajua hilo,wanajua.
 
Elugata mkuu wangu Russia wangekua na hayo makombola america wasingekua na ubabe!!!

Swali dogo sana naomba unijibu. Nitajie vita aliyopigana mmarekani peke yake na akashinda? Unaposema USA katika swala la vita jua lazima umtaje
Nato na its allies. Linapokuja swala la russia huwa anasimama mwenyewe bila kuwa na mtu pembeni. Hivi jiulize marekani bila support ya NATO, UK, France, Canada na Germany atampiga nani katika hii dunia. Unakumbuka aliposema assad amecross red line, UK na France wakakataliwa kwenda vitani ilikuwaje?

Pia jiulize ni kwanini USA anahangaika kusogeza vituo vyake vya kijeshi karibu na mipaka ya russia wakati yeye mrusi kila kitu kakificha ndani ya mipaka yake?
 
Mkuu bora uje unisaidie!! Maana kuna watu wabishi Sana!! Russia hawezi pigana na NATO the same time america! Atapotea!! Marekani na nato ndo wababe!! Kama kweli yeye ni kidume awaache NATO na USA waingie Kiev aone moto wake!! Mbona hajiwahi ilihali yeye kidume?? Hawa jamaa wako advanced sana kwenye Tech!!!![

Russia is going to be international isolated, sasa marafiki zake china, North Korea will be able to defeat the whole world? Nato ni alliance ya european countries, then ujumlishe USA, eti ni dume atawaweza? Kuna nchi inazidi USA technology kwenye jeshi?

Hilo la vita ya kijeshi embu weka pembeni kwanza...and thts why kukawa na Cold war from 1947-1991. Swala la sijui silaha sijui nn hlo kila mmoja anazo mana US wanajisifu kwa Raptor F 22, Russia ana MiG 35 ambayo ni fifth Gen fighter jet pia. Tatizo US ameiuzia uoga dunia kwa ajili ya hzo drones zake, Fighter jets, manowari na M1 Abrams anazopigana na Taliban na kwenye hiyo vita ya kufikirika anayoiita ya Ugaidi. Pia watu wanainfo nyingi kuhusu jeshi la US kutokana na vita inayojihusisha nazo, data kuhusu Military capability ya Russia kwenye web inaweza isiwe sahihi mpaka siku atakapo launch a full scale war ndio watu wataelewa.
Kama alivosema jamaa mmoja hapo juu hii itabaki kua economic war na sio Military.
 
Back
Top Bottom