GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 390
- 395
NATO ni jumuiya ya kujihami ya mataifa ya magharibi yaani ulaya. Na sasa marekani inataka kujiunga. Swali: hawa wanajihami dhidi ya nani? Silaha nzito, nyuklia, madege ya ajabu, mabomu ya kutisha, misuli ya ajabu huko bahari kuu nk, haya yote wao ndo wanamiliki na hawataki wengine wamiliki. Sasa wanamuhofia nani katika kujihami huku? Kweli hawa hamnazo, just another military propaganda for political and economic oppression against third world countries.