Bado nipo nipo
Member
- Nov 19, 2011
- 69
- 11
Wahuni haoo achana nao.
Wewe acha kutuletea hadithi za kutunga hapa hapa. Umesema msg imeahidi kuwa utafanywa kitu mbaya (kukameruniwa) sasa suala la kutishiwa kufa linatoka wapi? Na kama umeshajua anakutishia tu, shida yako nini, si na wewe mtishie. Mwambie wewe ni yule unayepiga mkia mtu na demu wake na umeshindikana kwa hilo kwani unalifanya kwa style ya ki-popobawa, utaona mwenyewe kama hakukuomba msamaha.
Kwa ninavyowajuapolisi wetu, ukienda huko ni kama umewapelekea mlo, wengine wataanzisha urafiki na wewe, watakuomba "kitu kidogo". Mwisho wa habari hawana watalofanya. Ukija kufa itakusaidia nini polisi?
Badilisha nambari ya simu, wasikufate si huyo binti wala huyo jamaa "tishatoto"!
Kwa jinsi ulivyoandika hapa, inaelekea huyo 'mtu mkubwa serikalini' akikuona tu atakuonea huruma. Usiwajali,soma baba kijiji kinakutegemea urudi ukagombee ubungo. Bahari imechafuka hiyo dogo, utavamia papa nyangumi,tena wale wa hatari
Potezea hao vichaa wawili (huyo jamaa anayejifanya mkubwa, wengi hao huwa wanakua na wake zao) na huyo binti kwani ni kicheche (kwanini ahangaike na wewe)
Ila waambie japo watu wawili wa karibu na wewe au ripoti polisi (ingawa sidhani kama polisi wetu watakusaidia sana)
Tatizo msg yenyewe ukiisoma unahisi ka umebakiza saa kadhaa b4 hujafa..
Sijamtumia picha ila huyo binti ananifahamu,na nadhani anaweza kuwa na picha tulizopiga kwenye conference
Kama kweli hujafanya kosa unaogopa nini tu.
Be a man ....
Saivi katumia simu nyingine nimepokea akaanza kunshambulia kwa maneno..nimemwuliza,hivi una akili kweli?Ndo nikaamsha msafara wa matusi nsiyoweza kuyaandika humu,hadi simu ikaisha vocha na kukatika..
When i already am?
Muone vile.We ulivyokua unalia jana ulikua "a little girl" ????then stop crying like a little girl.... If you haven't done anything wrong why are you worried?
are you hiding something under the carpet ..
then stop crying like a little girl.... If you haven't done anything wrong why are you worried?
are you hiding something under the carpet ..