mwakatojofu
Senior Member
- Dec 17, 2008
- 199
- 3
Leo hii katika Marekani wanaongelea kuhusu nationalizaion au government intervention. mimi inanishangaza. hapa napata picha ya wao kuanza kufanya kinyume na 'free market economy' wanayoihubiria sana.
maana free market wanayoisema na wanayotaka sisi tuifuate maana yake ni hii:
na zaidi zaidi sisi tuna kitu gani cha kujifunza kutokana na hili la serikali kuingilia sekta binafsi?
maana free market wanayoisema na wanayotaka sisi tuifuate maana yake ni hii:
A free market is a market that is free of government intervention and regulation, besides the minimal function of maintaining the legal system and protecting property rights, and is also free of private force and fraud. hii ni kwa mujibu wa: Free market - Wikipedia, the free encyclopedia
wanaelekea kuwa kama sisi kipindi cha nyerere? maana naona dalili zinaelekea huko na hii inaweza kuwa dalili ya kushindwa kwa hiyo free market? sisi tanzania tufanteje?
na zaidi zaidi sisi tuna kitu gani cha kujifunza kutokana na hili la serikali kuingilia sekta binafsi?