W wa hapahapa JF-Expert Member Aug 22, 2012 7,454 4,376 Dec 30, 2014 #1 Kulingana na uwekezaji wa kifisadi ktk vitalu vya gesi na madini je itawezekana mali hizo kurudi ktk umiliki wa umma ?
Kulingana na uwekezaji wa kifisadi ktk vitalu vya gesi na madini je itawezekana mali hizo kurudi ktk umiliki wa umma ?
W wa hapahapa JF-Expert Member Aug 22, 2012 7,454 4,376 Dec 30, 2014 Thread starter #2 Idd amin dada. Aliweza kuwafukuza wahindi ktk sekta za biashara na kuwapa wazalendo. Pengne ukawa watafanya ivyo 2015 ?
Idd amin dada. Aliweza kuwafukuza wahindi ktk sekta za biashara na kuwapa wazalendo. Pengne ukawa watafanya ivyo 2015 ?
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Dec 30, 2014 #3 ​nchi imekua kama embe bovu