Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Tofauti na watu wanavyoamini kuwa CCM ni chama Kikongwe.Matukio na mwenendo wa kisiasa unaonyesha wazi kuwa CCM bado ni Novice.Umri wake na uwezo wa safu nzima ni dhihirisho tuu kuwa "Age ant nothing but a number".CCM ina wazee waliokwama, na vijana walijikuta katika siasa kwa kuambiwa tu wanafamilia wewe unafaa kuwa mwanasiasa, na kuamua kufanya hivyo kwa vile nafasi za wazee wao ktk chama zinwaweka katika nafasi ya kuingia.Hawa vijana wameelimishwa katika taasisi zenye watendani wazee waliokwama na vijana wa fasta ila waliolelewa na kuishi katika CCM.
Huu mtiririko wa watoto wa vigogo ambao walivuka mambo mengi, ila wana matukio fulanifulani waliyofanya na kuwafanya wazee wawaone kuwa mbadala kwa upinzani unaoendeshwa na dhana ya Ujana.Hawa vijana wamepewa nguvu kubwa na kwa haraka, huku nguvu ya wazee imekwisha na hivyo kukwama.Kinachooneka sasa hivi CCM inaongozwa kama chama cha voda fasta.Na hii imejaa sana katika maeneo mengi ya utendaji katik nchi na hivyo kuishia kufanya nchi yote kuwa "novice" ktk mambo mengi ya ndani na ya nje.
Huu msururu wa watoto wa viongozi au hata wenye ukaribu umerahisisha sana njia ya kujiweka katika chama, achilia mbali msururu wa wasanii, na waandishi wasiokuwa makini, umekifanya chama kuwa na asilimia zaidi ya 80 ya watu wageni katika siasa, misingi ya nchi, uzalendo(hawajui vipengele vya uzalendo ha hivyo kudhani kwa kusema naipenda nchi),misingi ya haki za binadamu(walishazoea kushurutisha wafanya kazi, kwa hivyo wanaamini pia nchi ni yao na wana weza fanya lolote na kulinda na kivuli cha wazazi katik dola),hawajui sheria, wala historia sahihi ya nchi, hawapo tayari kwa mamabo mengie yanayohitaji wao kujitoa.Vijana ambao kipindi chote cha akusoma hawajawahi penda masomo yenye kujijenga kisiasa, wala fanya siasa ya kukomaza.Wamekuja ona siasa ukubwani, na mbaya huwa si watu wa kujisomea na kujifunza basi wakajikuta wanapwaya.
Matokeo yake, CCM ni chama kichanga sana katika siasa na dunia ya leo.Na hii inaonekana katika siasa za zamani za CCM wenyewe,na ni wachanga zaidi linapokuja suala la siasa za kileo ambazo CDm wameshika Jackpot.Wazee wameingia katika anasa kiasi ch akuwabakisha majina na umri tuu,umri unaohitaji kula na kufuata chochote ha hivyo kufuta kabisa uzoefu wote CCM wanaoweza jivunia.
Huu mtiririko wa watoto wa vigogo ambao walivuka mambo mengi, ila wana matukio fulanifulani waliyofanya na kuwafanya wazee wawaone kuwa mbadala kwa upinzani unaoendeshwa na dhana ya Ujana.Hawa vijana wamepewa nguvu kubwa na kwa haraka, huku nguvu ya wazee imekwisha na hivyo kukwama.Kinachooneka sasa hivi CCM inaongozwa kama chama cha voda fasta.Na hii imejaa sana katika maeneo mengi ya utendaji katik nchi na hivyo kuishia kufanya nchi yote kuwa "novice" ktk mambo mengi ya ndani na ya nje.
Huu msururu wa watoto wa viongozi au hata wenye ukaribu umerahisisha sana njia ya kujiweka katika chama, achilia mbali msururu wa wasanii, na waandishi wasiokuwa makini, umekifanya chama kuwa na asilimia zaidi ya 80 ya watu wageni katika siasa, misingi ya nchi, uzalendo(hawajui vipengele vya uzalendo ha hivyo kudhani kwa kusema naipenda nchi),misingi ya haki za binadamu(walishazoea kushurutisha wafanya kazi, kwa hivyo wanaamini pia nchi ni yao na wana weza fanya lolote na kulinda na kivuli cha wazazi katik dola),hawajui sheria, wala historia sahihi ya nchi, hawapo tayari kwa mamabo mengie yanayohitaji wao kujitoa.Vijana ambao kipindi chote cha akusoma hawajawahi penda masomo yenye kujijenga kisiasa, wala fanya siasa ya kukomaza.Wamekuja ona siasa ukubwani, na mbaya huwa si watu wa kujisomea na kujifunza basi wakajikuta wanapwaya.
Matokeo yake, CCM ni chama kichanga sana katika siasa na dunia ya leo.Na hii inaonekana katika siasa za zamani za CCM wenyewe,na ni wachanga zaidi linapokuja suala la siasa za kileo ambazo CDm wameshika Jackpot.Wazee wameingia katika anasa kiasi ch akuwabakisha majina na umri tuu,umri unaohitaji kula na kufuata chochote ha hivyo kufuta kabisa uzoefu wote CCM wanaoweza jivunia.