Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Nyamisangura

Member
Joined
Jan 4, 2018
Posts
87
Reaction score
109
Toka mwaka 2008 mpaka leo ninaendelea na huu mchezo wa pull kila nikitaka kuacha ninashindwa yaani ninarudia,iko hivi siwezi kulala bila pull nikiamka ninapiga pull yaani hata shemeji yenu awepo asiwepo mwendo ni huo huo,sasa nikiwa ninakutana na mpenzi wangu huwa ninaunganisha magoli mawili,yaani performance haijawahi kushuka zaidi ya shemeji yenu aombe poo,akisema amechoka basi Mimi huyo bafuni ninaenda kujilipua,kiukweli sijui nita acha lini huu mchezo wa kupiga pull yaani nimekuwa teja wa pull
 
Toka mwaka 2008 mpaka leo ninaendelea na huu mchezo wa pull kila nikitaka kuacha ninashindwa yaani ninarudia,iko hivi siwezi kulala bila pull nikiamka ninapiga pull yaani hata shemeji yenu awepo asiwepo mwendo ni huo huo,sasa nikiwa ninakutana na mpenzi wangu huwa ninaunganisha magoli mawili,yaani performance haijawahi kushuka zaidi ya shemeji yenu aombe poo,akisema amechoka basi Mimi huyo bafuni ninaenda kujilipua,kiukweli sijui nita acha lini huu mchezo wa kupiga pull yaani nimekuwa teja wa pull
Upo form ngap?
 
Toka mwaka 2008 mpaka leo ninaendelea na huu mchezo wa pull kila nikitaka kuacha ninashindwa yaani ninarudia,iko hivi siwezi kulala bila pull nikiamka ninapiga pull yaani hata shemeji yenu awepo asiwepo mwendo ni huo huo,sasa nikiwa ninakutana na mpenzi wangu huwa ninaunganisha magoli mawili,yaani performance haijawahi kushuka zaidi ya shemeji yenu aombe poo,akisema amechoka basi Mimi huyo bafuni ninaenda kujilipua,kiukweli sijui nita acha lini huu mchezo wa kupiga pull yaani nimekuwa teja wa pull
Anza kuiwazia jehanamu kabla hujanyetuka
 
kiwango cha kawaida cha kupiga punyeto ni miaka 15 so kutoka mwaka 2008 mpk leo ni sawa na miaka 10 tu bado miaka 5 ya kuacha huo mchezo

ikipita hiyo miaka 15 kama bado hujaacha basi ujuwe kuwa maisha yako yote utapiga punyeto

ulianza ukiwa na miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom