Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

Kuna uzi unafanana na huu jamaa alicomment 'bachelor of business in sales & marketing'
 
Inaitwa funua kata funika,Hamna kitu hapo. Na kama Ndio alimletea nyodo mpaka akakupata,since when he fuc.k her that's the end of the story. no love,no more.
hahaha siku wanajifariji na msemo wao " Si kila uhusiano lazima uishie kwenye ndoa" tena bila shaka huu msemo umeletwa na wanaume kuwatia ujinga dada zetu, ukweli ni kuwa si kila mwanaume unaekuwa nae ktk mahusiano ni lazima auchezee utupu wako,wadada wajifunze kusema hapana.
 
Saikolojia ya mwanadam haijawahi kubadilikaa,
Mwanadam huwa anathamin sana vitu ambavyo hana, na husahau kabisa vitu alivyonavyo au kwa lugha nyingine havithamin.

Tuje kwenye mada, tatzo lako kubwa, ulishampa uhakika kuwa upo pale kwa ajil yake na umeshafunga jalada la uchaguz katika mapenz, hiko kitu kina faida na hasara zake.

moja ya hasara ya jambo hilo, ni kwamba mwanaume anakuwa anachukulia tayari ameshakuteka, kwahyo haoni sababu ya kuhangaika kuku impress, unakuta anahangaika na wanawake wengine ambao hta umewazid uzur na kila kitu.

Chakufanya, husionyeshe kama umefiiika kwake, yan anza ku act expensive, sio kila mda anaokuhitaj we unapatikana, sio kila akipiga sim we unapokea... unaipotezea sim hlf baaadae ndo unamchek, na samahan kibao, ukiwa unachat nae, we ndo uwe wakwanza kuaga...

Fanya hayo aisee.... na mahusiano yako yatazaliwa upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachache sana watakuelewa kwa hili uliloliandika..hiyo kitu inaitwa LAW OF ATTRACTION
 
hahaha siku wanajifariji na msemo wao " Si kila uhusiano lazima uishie kwenye ndoa" tena bila shaka huu msemo umeletwa na wanaume kuwatia ujinga dada zetu, ukweli ni kuwa si kila mwanaume unaekuwa nae ktk mahusiano ni lazima auchezee utupu wako,wadada wajifunze kusema hapana.
Sio tu hapana,maana mwingine unamuona this person deserve me. Akizingua basi move on na sio kulia lia ovyo wadada
 
Au labda wewe ni wakawaida sana kwahyo jamaa kukupenda umeona zali akikuacha hutatongozwa tena

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom