tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Natengeneza windows 8 kwa bei nafuu sana sana nakukupa cd ya window8 2014 septembar na pin zake yoyote anae hitaji
nipe 50000 vp upo tayari nikupe namba kwani uko wapi kama uko mkoa tukubaliane condition fulanifulani unasemajeNahitaji, kwa bei gani
Nafanya window 8 kwa bei nafuu sana sana nakukupa cd ya window8 2014 septembar na pin zake yoyote anae hitaji
Na hiyo atakupa guarantee ya mwaka mmoja ukiisha unafungiwa mileleWewe ume-download illegal copy ya W8 halafu bado unafanya biashara? Unajua implication zake?
nakupigia inakaa zaidi ya miezi 4 ndio maana nikakwambia bei nafuuNa hiyo atakupa guarantee ya mwaka mmoja ukiisha unafungiwa milele
unachekesha haya bwana baki na xp yako, huu nimfumo wa kisasa zaidi iko fasta sanaSiuziwi mbuzi kwenye gunia, tukikubaliana utainstall mwenyewe mpaka uhakikishe inafanyakazi vizuri ndo tulipane
wewe nipe kazi uje uone ila akikisha mashine yako ram zake ziko fit cpu yake iko fit pia hd iko katika viwango vinavyofaakwa w8 wewe kama upo poa niambieUnaifanyaje hiyo widows 8.....???
kwanini unasema hivyo mkuu,kwani unajua uwezo wangu,wewekama unatatizo la window iwe xp,7,8 hata vista nistue tu mkuukawadanganye mazuzu
Nafanya window 8 kwa bei nafuu sana sana nakukupa cd ya window8 2014 septembar na pin zake yoyote anae hitaji
mkuu si hivyo unavyofikiri sivyo kuna mtayalishaji mmoja wa muziki nimemfanyia iyo installation na anafanya kazi zake za mziki na filamu ndio maana nikaawaambia kwa bei easy najua uwezi kuamini sababu si shughuli ya kitoto windows 8 kwani wrngi wanjua sana 7 na xp hapa mpaka vista na linux napigaUnafanyaje Hiyo window 8? Unamaanisha unafanya installation? Unamaanisha nini??
Na hatuiti window inaitwa Windows 8.
Alafu hiyo ni kazi batili na Microsoft corporation alitakiwa kukufunga kwa kusambaza bidhaa zake bila kibali tena kwa kuburn CD za k/koo??
mkuu si hivyo unavyofikiri sivyo kuna mtayalishaji mmoja wa muziki nimemfanyia iyo installation na anafanya kazi zake za mziki na filamu ndio maana nikaawaambia kwa bei easy najua uwezi kuamini sababu si shughuli ya kitoto windows 8 kwani wrngi wanjua sana 7 na xp hapa mpaka vista na linux napiga
nimekuamini mashine unaijua anae ijua mashine utamjua tu! Unasema hatari kivipi mkuu?Hahahaaaa unajua kutengeneza bootable flash? Au unatumia njia za kizamani kuweka Windows?? Hizo kazi za kawaida sana mkuu mimi sio mtu wa IT lakin believe me napiga hizo mambo hatari sana.
Najua hayo ni mambo madogo sana, cha ajabu ww unahisi kuwa ni bonge la kazi, km unajua mashine nambie maana ya system bits?nimekuamini mashine unaijua anae ijua mashine utamjua tu! Unasema hatari kivipi mkuu?