Natengeneza ndege na FM transmitter

Natengeneza ndege na FM transmitter

Apolo The Great

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
249
Reaction score
194
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.
 
Aisee unakipaji ungekuwa Europe ungekuwa mbali sana bcoz ni mbunifu ila kupata supporter ndo issue lkn kwa Tz kijana ww soma hayo ya kutengeneza ndege km unaweza tengeneza hata ya mbao ukiruka nayo umaskini baibai serikal haitokuacha
 
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.


Safi sana Apolo the Great;hayo ndo mambo bwana,aisee ningekuwa nina uwezo ningemshawishi Waziri wa Sayansi na Teknolojia akupe nafasi ya kwenda nje ya nchi ambako teknolojia hiyo imekuwa ktk hali ya juu ili kukuza kipaji chako.maana Bongo hapa uwezo mdogo.
 
Safi sana Apolo the Great;hayo ndo mambo bwana,aisee ningekuwa nina uwezo ningemshawishi Waziri wa Sayansi na Teknolojia akupe nafasi ya kwenda nje ya nchi ambako teknolojia hiyo imekuwa ktk hali ya juu ili kukuza kipaji chako.maana Bongo hapa uwezo mdogo.

mmh! Waziri huyu tunayemjua sisi au mwingine? Hata zikitoka scholarship 100 zenye ufadhili wa waliozitoa watawapatia ndugu zao ambao hawana hata sifa. Chezea ccm wewe!
 
TCRA mpeni utaratibu kabla hamjamkamata! HONGERA KIJANA
 
Last edited by a moderator:
Mkuu jiangalie sana watu kama nyie huwa mnapotezwa

Tu. Sijajua kwAnini?

Huku kwetu kuna mtu alitengeneza Ndege akaja

akakamatwa, baada ya wiki akarudi anaumwa

baada kidogo akafariki dunia.

SIJAJAJUA KWANINI MTU AKITENGENEZA NDEGE AU HERCOPTER AU TRANSMETER ANAKAMATWA?
 
Mkuu unataka tukupatie ushauri gani sasa?.( Kikubwa mie Naomba uendelee na masomo pia endelea kufanya mazoezi zaidi.)
 
Usijitangaze, bongo sio salama mkuu. Fanya kimya kimya, jifungie maabara utajua tu ukisoma wengine wamefanyaje
 
We unaijua serikali ya maccm ama? em waulize watengeneza magobore kilichowakuta
 
Umegusa sehemu nyeti sana, radio na ndege mmmh!! Yaani sisi hata packaging bado tunafunga lumbesa kwenda nje we waleta mambo ya kupaa tena
 
kama unaweza tengeneza.but mimi pia nasoma engineering.usikate tamaa kuhusu kutengeneza.kila kitu ni kiko open kwenye mtandao.unaweza kutengeneza na kukusaidia katika masomo hasa uelewa.ila ushauri wangu katika ugunduzi ni kama unatengeneza ndege ,jiulize unaipa features zipi zitakazoizidi ndege zilizopo sasa?hyo ndiyo design unaweza iuza ukapata pesa na kujulikana.sio lazima kuuza kwa kutembea nazo...now kuna support kama ieee.com.una upload your project then unacompete na wengine.pia utakuta wenzio waliofanya unapata more ideas.
 
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.

Safi apolo,ni pm
 
Ha ha ha ha wenzio wanaacha matendo yafanye ww umeacha maneno yafanye!
 
unaonaje ukachukua utaalam wa ungo ili uweze kutengeneza ndege isiyotumia mafuta?
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.
 
Hamia Iran kaka. Bongo nuksi hii wanaotengeneza magobore wanawekwa ndani sembuse wewe ndege!
 
Kwa bongo ni ngumu atazungushwa Sana njoo kesho fulani hayupo watamfanya akate tamaa
 
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.

Hivi Mh. Waziri hayupo humu ndani aje ajionee vipaji.?
 
Back
Top Bottom