Apolo The Great
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 249
- 194
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.