Kwa wale wanaoimba natengeneza beats(mdundo) kwa wanaohitaji dondosha comment hapa
Sio live ni FL kaka
Kwa wale wanaoimba natengeneza beats(mdundo) kwa wanaohitaji dondosha comment hapa
Mkuu kama hupigi hata code moja we baaado sana, uproducers sio mzezo, kapige shule zaidi, fl srudio & other music productuon software zinalemaza, pia huwezi kuwa deep, utaishia kutengeneza beatz za viduku, ila serious internation music hutaweza, ila its a goods stats, master kwanza keybord arrangers/synthes/workstations kama vile yamaha prs 910/950/ motiff x 6-10 au korg m3 nk , then hamia kwenye gitars,hapo ukiweza kuspecialize kwenye solo rythm hautakushinda japo huwez kujua kupiga solo hujapitia rythm guitar
I am but sijakamilisha studio bado
Wengi wa maproducer kibongo bongo wameanzia hivyo. Ila ni vizuri zaidi akijua na hivyo vitu though kuna aina flan ya Music keyboard tunaitumia kutafutia main melody afu vitu vingine Mouse inahusika kwa kiwango kikubwa!
Nimekuelewa kaka ila kama vp tupia sample moja humu nami nikupe sauti yangu tuone tunafanyaje hellotz@yahoo.com
ntakusendia kesho ila mi nafanya sana Trap na RNB.
RNB? That's ma favourite genre,pamoja sana..