Natangaza rasmi...


Tunakutakia kila la heri maana ya Kaisari tuwachiwe wenyewe Kaisari
 
Hongera ndugu yangu. Nami natangaza kujiunga na Chadema rasmi baada ya kuondolewa nyoka huyo ambaye amekuwa akikikosha amani chama. Ni bora alivotokomea! Hurreeeeeeeee!
.....Mkuu naomba unijuze.....nimesoma maandiko mengi juu ya hili suala la mh Zitto.....sijui amehukumiwa kwa kosa gani......kwa kufuata utaratibu upi.......hakuna mahala yanatajwa haya......tafadhali
 

ulijiunga lini na kadi namba yako ni ngapi tutajie

kama hujazoea dhana ya uwajibikaji huwezi kukaa mahali wanapoiamini. naamini huko unakohamia wakianza utekelezaji wa dhana ya uwajibikaji utakosa pa kwenda
 

Ondoka na wanafki wote muondoke wabaki wenye nia moja ya kuona mabadiliko. Kazi kutumiwa na MaCCM tu
 

Unapoandika Pumba zako ujaribu kufikiri, hakuna mnyiramba hewa style yako pengine we ni wa makunda kwa mwigulu! Unafaham vizur nguvu ya chadema Iramba au unaongepea tu kwa njaa zako?
 
Unapoandika Pumba zako ujaribu kufikiri, hakuna mnyiramba hewa style yako pengine we ni wa makunda kwa mwigulu! Unafaham vizur nguvu ya chadema Iramba au unaongepea tu kwa njaa zako?

Ndugu Iramba,nimeeze iza sana ene,kwhy sikungonga kakentu,kwani uwe wa pee nwa kileta ekemani epa pi jukwaa?,gona mdawu wendi dema i mitugo.
 
Mimi naipenda Tanzania hata ukihama chadema ccm Ndio hakufai kuna machafu kuliko CDM!! Walitangaza kuvua magamba hadi Leo wameshindwa Leo wanaonyesha uchungu kwa zito kwakua wao Ndio wamemnunua!! Kila tukijaribu kuwatoa madarakani ki democrasia wananunua wapinzani dawa yao kua inachemka
 
Unapoandika Pumba zako ujaribu kufikiri, hakuna mnyiramba hewa style yako pengine we ni wa makunda kwa mwigulu! Unafaham vizur nguvu ya chadema Iramba au unaongepea tu kwa njaa zako?

huenda unaongea na Mwijulu meenyewe hapa bila kujua!
 

Ulijiunga rasimi mwaka gani? Tukabidhi kadi yetu ili ulale vizuri peponi.
 
Nenda mwalimu.mawe kwenye mchele lazima yatoke kabla ya uchaguzi wa mwakani.
 

Itisha waandishi wa habari ili tangazo lako liwafikie wengi!
 

Safari njema tuache na CDM yetu nenda mwingulu anakusubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…