ndugu wanajf na watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa taifa!,hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi msingida,nakihama chama hichi rasmi leo.asanteni kwa kusoma uzi huu.
Hongera ndugu yangu. Nami natangaza kujiunga na Chadema rasmi baada ya kuondolewa nyoka huyo ambaye amekuwa akikikosha amani chama. Ni bora alivotokomea! Hurreeeeeeeee!
Pole mkuu wangu.Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
Kapi jingine hilo. Watajitoa mmoja mmoja kwa sababu wameshajua ndani ya Chadema mamluki wanashtukiwa. Jiondokee tu wala huna haja ya kujitangaza.Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
kwa hiyo atakakohamia ZZK ndo utahamia...??? Nina mashaka na reasoning capacity yakoNdugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
Kumbe wewe ni mshabiki wa zito sio mwanachama! Haya kahamie FDLR
Joka hiloooooo joka limeingia chumbani,CDM wamechachamaa majoka kuyatoa ndani..........enzi za mwalimuBinafsi nilijua nipo peke yangu hapa Jf kwa kutokuwa na Chama. Mi ni muda tu nimeamua kutokuwa na chama. Kuna siku nilisimuliwa namna Z.Kabwe anavyokula CCM na CDM, nilishangaa sana. Lakini CDM wamechelewa saaaana.
Baada ya kutoka Denmark mwaka huu mwezi wa nne,nilipendezwa sana na chama cha CDM,ila kwa sasa,HAPANA
kinachonosikitisha ni ule usemi wa mwalimu kuwa kiongozi bora atatoka CCMila haya yaliyobaki yanaamini kiongozi bora atatoka CDM aje kuiongoza CCMNdugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
jambo lilo jema sana na linalotutia moyo sana, ni kwamba huna impact yoyote kwa chama. ,yaani wewe uwepo au uondoke huna athari yoxote kwetu.. Ametolewa zitto na kitila ambao walikuwa very influential sembuse wewe?