zebanga watelanga
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 862
- 398
siasa haina umilele mabadiliko yanatokea muda wowote na ukasepa kwani sio wazazi wako kwamba hata ukiwakana bado dna hitakumbua (mm sina chama cha siasa chakukili na umilele nacho HAPANA KWANGU KWA SIASA UCHWARWA) iyo ndoa ya kristo yenyewe inavunjika pamoja na viapo vyote itakua siasa ILAYOTE KWAYOTE KILA LAHERI KWANI KUPANGA NIKUCHAGUA