Wazo au Nia ya Rais Magufuli ikitekelezwa ni nafuu kwa Watanzania.
Kwanza kurahisisha uanzishwaji na kufanya biashara.. Hapa TIC, Brela, TRA na TBS....
Pili: kupunguza utitiri wa kodi
Tatu: ukadiriaji wa kodi...uwe wa haki bila kuua mtaji au kukandamiza kodi kubwa...
NNE: kuvutia walipa kodi wengi, yaani kuwa na tax base kubwa
Tano: TRA wawe rafiki....wasiwe na hila au vitisho
Sita: TRA watoe elimu kwa watu
Note: % ngapi ya kodi inatakiwa kukatwa kwenye net profit?
Je kuna formula maalum ya kucalculate kiwango cha kodi ili kuondoa wasi wasi?
Mfano PAYE inaeweka
Kwanza kurahisisha uanzishwaji na kufanya biashara.. Hapa TIC, Brela, TRA na TBS....
Pili: kupunguza utitiri wa kodi
Tatu: ukadiriaji wa kodi...uwe wa haki bila kuua mtaji au kukandamiza kodi kubwa...
NNE: kuvutia walipa kodi wengi, yaani kuwa na tax base kubwa
Tano: TRA wawe rafiki....wasiwe na hila au vitisho
Sita: TRA watoe elimu kwa watu
Note: % ngapi ya kodi inatakiwa kukatwa kwenye net profit?
Je kuna formula maalum ya kucalculate kiwango cha kodi ili kuondoa wasi wasi?
Mfano PAYE inaeweka