Deus Michael Ndololo
Member
- Jul 26, 2017
- 45
- 96
Ndugu watanzania, nimewaza, hapa natamani TUPATIKANE WATU arobaini tuunganishe mitaji ya Mil 5 ili kuitimiza Mil 200 then tuwekeze kupitia Vodacom M-wekeza, huku tukitarajia kupata faida ya zaidi ya asilimia 13 kwa mwaka. Ambapo tujihakikishie kupata zaidi ya Mil 26 kwa mwaka na kwa mwezi 2.1M, ambapo tutakubaliana kuziacha kwa miezi sita then tukapanga mradi Upi wa kufanya.
UNAJUA..
Wenzetu wazungu wanaakilinsana huungana na kufanya mambo kama haya na mwisho wa siku hufanikiwa sana, ila sisi wabongo tunachoweza ni umimi na kupambana kiume. Sasa nimewaza why tusifanye kitu kama vijana?
If interested nicheki tuyajenge.
UNAJUA..
Wenzetu wazungu wanaakilinsana huungana na kufanya mambo kama haya na mwisho wa siku hufanikiwa sana, ila sisi wabongo tunachoweza ni umimi na kupambana kiume. Sasa nimewaza why tusifanye kitu kama vijana?
If interested nicheki tuyajenge.