Natamani sana kuwa tajiri

Wanachadema mnawaza mambo ya kusfikirika tu
 
Hahaha jiunge ccm kwanza udhulumu vya kutosha, dawa ya utajiri ni kudhulumu, ukitosheka unanza kufungua vijikampuni kwapesa za kudhulumu.
 
Utajiri wa kiwango kipi??
1.Kiwango cha akina Bakhera
2.utajiri wa kijanja janja kama wa MO
3.utajiri wa kiwango cha akina kikwete/lowassa/Mkono/Magu??
4.utajiri wa kiwango cha akina mafuruki??
5.utajiri wa kiwango cha akina Diamond/messi/CR7
6.utajiri wa kiwango cha akina abood/
7.utajiri kiwango cha akina dangote/Jeff bezos/salim/bilget???
 
Wakikupa mbinu na mimi nigaie,
Tupo pamoja kwenye mawazo hayo.
 
Ungefikiria hilo 15 years ago.

Labda ungekuwa unakaribia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…