Elly ceejr
Member
- Dec 24, 2016
- 51
- 17
Habar za muda huu wana jf
Mimi ni kijana wa miaka 25+ niende moja kwa moja kwenye maada ndoto yangu kubwa ni kuwa soldier tokea nikiwa mdogo nilikuwa nataman san kuwa mjeda ila muda ulikuwa hujatimia ila kwasas naona ndio muda mwafaka baada ya kuhitim shahada . lengo LA hii thread ni kutaka kujua wapi pakuanzia au kuna process gani ili niweze kufanikiwa katika hili ? Karibun kwa maelezo na ushauri pia.
Mimi ni kijana wa miaka 25+ niende moja kwa moja kwenye maada ndoto yangu kubwa ni kuwa soldier tokea nikiwa mdogo nilikuwa nataman san kuwa mjeda ila muda ulikuwa hujatimia ila kwasas naona ndio muda mwafaka baada ya kuhitim shahada . lengo LA hii thread ni kutaka kujua wapi pakuanzia au kuna process gani ili niweze kufanikiwa katika hili ? Karibun kwa maelezo na ushauri pia.