Natamani sana kujibiwa haya mwaswali.

vivian

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
1,749
1,000
Edson:
Kwanini umechagua avatar ya picha ya Mzee Mugabe akiwa amezimia kwenye sofa?

sikumbuki majana ya hawa.

1. Kuna member ana avatar ya m2 aliyebeba jeneza kwenye pikipiki

2. kuna member mwingine ana avatar ya maiti ya wale wananchi waliouliwa na askari kule nyamongo halafu maiti ikawa imesuswa na wananchi barabarani.

Naombeni kama wahusika mtapata ''chance' ya kuiona hii thread minipe majibu, huwa nikiangalia avatar zenu najaribu kujiuliza maswali yanayoishia kukosa majibu.
 
Edson:
Kwanini umechagua avatar ya picha ya Mzee Mugabe akiwa amezimia kwenye sofa?

sikumbuki majana ya hawa.

1. Kuna member ana avatar ya m2 aliyebeba jeneza kwenye pikipiki

2. kuna member mwingine ana avatar ya maiti ya wale wananchi waliouliwa na askari kule nyamongo halafu maiti ikawa imesuswa na wananchi barabarani.

Naombeni kama wahusika mtapata ''chance' ya kuiona hii thread minipe majibu, huwa nikiangalia avatar zenu najaribu kujiuliza maswali yanayoishia kukosa majibu.
We subiri tu mama! picha za Msiba wa Kanumba zitageuzwa Avatar!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom