Natamani sana kuhamia CHADEMA.

Natamani sana kuhamia CHADEMA.

Unafikiri anakataa ila miaka hamsini akifanya tathimini ya mabadiliko anaona kabisa hakuna uwiano unaomridhisha ndiyo maana akachagua upinzani.
Asante kwa kunisemea Mzee wa Rula. Maana kama mabadiliko yangekuwa yanaweza kupatikana CCM basi tungeshayaona. Lakini kwa bahati mbaya kila tukisubiri unafuu ndiyo tunaona magumu kuliko. Kikwete alipoingia alibeba tumaini jipya la watanzania, lakini hali ya nchi ni mbaya kuliko alivyolikuta. Sasa mabadiliko gani mengine niyatarajie kutoka CCM?
 
Last edited by a moderator:
Kama unazosifa kwanini uendelee kusubiri, kaza nia mkuu njoo ujiunge na harakati za kurudisha heshima ya Taifa letu!.......PIPOZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ.. NADHANI NATAKIWA KUMALIZIA NA PAWAAAA

Taratibu utazoe Chadema ni Powerrrrrhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hiyo pawa uliyotoka nayo huko utaiacha tu ila karibu sana
 
wana jf nilikuwa natafuta sababu za kukihama chama changu ccm, na nimezipata! They say chadema ni ya wasomi, vijana na wanamapinduzi. Hizo sifa ninazo! Nataka kuikacha ccm, na kama nikiwa mzee na yenyewe bado ipo, mi nitarudi tena!! Cdm nipokeeni....

kaka aksante kwa kunifumbua macho..nilikuwa na tatizo kama lako ila in a different scenario...mie nishaapa sitoajiriwa na serikali ya tanzania at my young ages isipokuwa at my sixties.....sasa naamini hata serikali ya ccm inafikiria na kuendeshwa kizee-zee kiasi kwamba sio mahala sahihi kwa vijana with energetic and very sharp minds...naamini sasa kama 2015 natakiwa kuingia serikalini chini ya viongozi vijana na wenye mawazo chanya katika kuleta maendeleo....sikuwahi kuamini kuwa natakiwa nikae ofcn nasubiria dodoso/dokezo lipitiwe na boss mzee aliyeenda semina bagamoyo kwa wiki 3 then anaunganisha south africa kisha ana-likizo ya mwezi mmoja ndio arudi atoe dodoso/dokezo then mie niendelee na kazi ambayo naweza kuifanya in 1hr.

Kumbe ndio maana vijana waliokubali kuingia serikalini hasa chini ya hiki chama cha magamba wanaishia kuwa wezi/waongo na janjajanja hata kama huko chuo mlikokuwa nao walikuwa smart guys..hawana cha kufanya ofcn zaidi ya kuwazia safari semina na washa ili kupata per diems.....arghhhhhhhh

chadema muje madarakani tuwatumikie watanzania wenzetu.
 
Du hadi leo watu wanaungana na makundi ya ushoga?
 
Angalia usijekuwa unafuata cheo na kadigirii chako,huku CDM watu wamesoma hadi tuisheni mkuu!
 
karibu sana ila kumbuka sio vizuri kuyarudia matapishi ukija CDM iteme CCM milele na milele amina. huo ndo msimamo
 
Lukolo! mabadiliko yanapatikana hata ukibakia hapo hapo ulipo[/QUOTE

Acha kumdanganya mabadiliko ameyangoja sana lakini amekuwa akiwasikia watu wakipokezana tu walewale walio kwenye kikundi cha kuikomba nchi. akitokea mwingine anapikiwa majungu mapka akome kisa pale kwenye kichungu hagusi mtu. umesahau zali na mizeengwe ya Nape na Lowasa? Tambwe Hia yuko wapi? kajipendekeza ngawaiya, yuko wapi? rejea maneno ya Kitine, Mangula, Kolimba, Sumaye, Malima na wengine, kipi kimebadilika? ufisadi umepigiwa kelele na ndiyo kwanza unachanua, Mabadiliko huko hakuna mwenzangu nitafute tu nikupe kadi uwe huru kimawazo na kimtazamo.
 
kwani ulipokua huko uliko ulimshauri nani we nenda kwa padriwako mpora wake za watu sijui mtaongoza nchi gani nanani awape mkazidishe udini .
 
Wana JF nilikuwa natafuta sababu za kukihama chama changu ccm, na nimezipata! they say chadema ni ya wasomi, vijana na wanamapinduzi. hizo sifa ninazo! Nataka kuikacha CCM, na kama nikiwa mzee na yenyewe bado ipo, mi nitarudi tena!! cdm nipokeeni....

Utapokelewa kwa uadilifu wako, uzalendo na kupingavufisadi.

Nijuavyo CHADEMA ni chama cha wananchi wote: wasomi, wasio wasomi, waislamu, wakristu, wasio na dini, vijana na wazee. Watu wa rangi zote, wanawake na wanaume.

Aliyekwambia CHADEMA ni chama cha wasomi na vijana KAKUDANGANYA!

Kama hizo ndio sababu za kuhamia CHADEMA Bora baki huko huko kwa magamba
 
kwani ulipokua huko uliko ulimshauri nani we nenda kwa padriwako mpora wake za watu sijui mtaongoza nchi gani nanani awape mkazidishe udini .

Nahisi ubongo wako umekwishavurugwa na udini! Ni dalili mbaya, wahi hospitali ukatibiwe
 
Wana JF nilikuwa natafuta sababu za kukihama chama changu ccm, na nimezipata! they say chadema ni ya wasomi, vijana na wanamapinduzi. hizo sifa ninazo! Nataka kuikacha CCM, na kama nikiwa mzee na yenyewe bado ipo, mi nitarudi tena!! cdm nipokeeni....

Hii thread yako imekaa kiudaku udaku na kiuchokozi chokozi na ulichokiandika sio dhamira yako. mwenye nia ya kuingia CDM huwa achelewi kuchukua maamuzi sio mpaka upitie humu JF.
 
Kwani ukiwa mwanachama unanufaika na nini?.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2

Participation yako ikiwa nzuri unaweza ukaingia kamati kuu na unakuwa miongoni mwa watu wanaonufaika na fedha za rusuku (joking though hukosi viposho vya hawa na pale vya kufungua matawi mikoani
 
Karibu sana kijana kwa uamuzi wa busara.
Pole kwa kuchelewa kufika ila si mbaya umewahi kuanza mchakato wa mabadiliko.
Kama unahitaji kadi ni-PM anytime.
Na wengine wote wenye kuhitaji tafadhali feel free.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mkiona huko napo hapakaliki.....mnaweza kurudi na tutawapokea......nakumbuka hata yule mwana mpotevu alipotoka kwa baba yake aliondoka kwa mbwembwe.....pamoja na kujiita msomi... ila maisha yalipomwia vigumu alirudi na akapokelewa
 
Back
Top Bottom