Natamani sana kuhamia CHADEMA.

Natamani sana kuhamia CHADEMA.

Angalia usijekuwa unafuata cheo na kadigirii chako,huku CDM watu wamesoma hadi tuisheni mkuu!

.........

Siyo cheo kaka! nataka kuwa mwanamapinduzi wa kweli. na kujikomboa na ugumu wa maisha!!
 
Lukolo! mabadiliko yanapatikana hata ukibakia hapo hapo ulipo

kiwatengu: Si rahisi kama unavyofikiria, hivi unajua maana ya neno WENYE CHAMA CHAO? ukilijua hilo nawe utajua uko katika level gani ndani ya chama hicho. si rahisi kufanya mabadiliko bila kupiga hatua kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Tafakali.
 
Wana JF nilikuwa natafuta sababu za kukihama chama changu ccm, na nimezipata! they say chadema ni ya wasomi, vijana na wanamapinduzi. hizo sifa ninazo! Nataka kuikacha CCM, na kama nikiwa mzee na yenyewe bado ipo, mi nitarudi tena!! cdm nipokeeni........

Jiunge kama unaona haja ya mabadiliko na una uchungu wa kutaka mabadiliko, kama ni mwanamapinduzi wa ukweli usichelewe.

Usije kama unatafuta uniformity, kuwa na wasomi wenzio, kuwa na vijana wenzio, hutakisaidia chama chochote.kwa nini urudi ulikotoka ukiwa mzee? kwani cdm hakuna wazee wanamapinduzi! think twice.
 
Nenda lakini ujiandae kwa kupigwa mabomu. kama sivyo labda usiende kwenye fujo zao.

......

teh teh..Hawa watu ndio waleta mabadiliko ndugu yangu,hujaona kigezo number moja alichokitaja?Hampo makini sana mnapochangia vitu wanavyopost wengine.

Jamaa kama hawa huwa nadio wanaosimama ktk mikutano ya kijiji na kusema kitu kwa ujasiri na kutoa maamuzi ya kushtua,hadi kila mtu akageka kwa jazba, halafu wakimuuliza tena kumtisha anarudia kwa ujasiri tena.Na anarudia nimesema hivi na hivi,mbaya unakuta ni mtu wengine wanamtafsiri kuwa mwoga ila kwenye jambo husika kwa usahihi na timing nzuri, ktk paltform sahihi anfanya kitu cha kubadili kila kitu.

Then ujasiri wake na nguvu iliyobebwa ba hoja ndipo watu hujiuliza maswali kabla ya kusikia LAKINI NI KWELI,NDIPO MBEGU YA LAKINI NI KWLEI HUSAMBAA FASTA ,kiasi cha kuwabakisha wabishi wanaolinda maslahi fulani kubaki pekee yao ,huku ujasiri na ubabe wao ukigeuka kuwa hofu kubwa.
 
Wana JF nilikuwa natafuta sababu za kukihama chama changu ccm, na nimezipata! they say chadema ni ya wasomi, vijana na wanamapinduzi. hizo sifa ninazo! Nataka kuikacha CCM, na kama nikiwa mzee na yenyewe bado ipo, mi nitarudi tena!! cdm nipokeeni....

Mkuu karibu kwetu, huku kwetu kuna Democrasia ya kweli, huwezi kuwa kiongozi hadi uwe aidha ndugu, rafiki au utoke kanda moja na Mzee Mtei.

Unaweza kupewa hata ukurugenzi lakini ukubali kudumisha fikra za mwenyekiti wasiliana na Erasto Tumbo, usifikiri kuwa mtaalam wa fedha ndio kutakupa cheo hicho bali ni jinsi gani unaweza kupitisha bila kuhoji matumizi yasiyokuwa ya haki yaliyoidhinishwa na katibu, Mwenyekiti na Mwasisi wa Chama wasiliana na Mwigamba.

Kama wewe siyo dini moja na mwasisi wa Chama utapewa uongozi lakini kwenye maamuzi muhimu ya chama hutashirikishwa, wasiliana na Said Arfi atakujuza.

Mkuu huku fitna ndio nyumbani kwao, jaribu kugombea cheo utaona, pamoja uchaguzi wa BAVICHA umepita miaka mingi lakini hadi leo bado watu wanamuandama John Heche.

Hivyo mkuu karibu nakushauri ukifika huku usipende makuu waachie waanzilishi wafaidike na matunda ya mabadiliko.
 
Mkuu karibu kwetu, huku kwetu kuna Democrasia ya kweli, huwezi kuwa kiongozi hadi uwe aidha ndugu, rafiki au utoke kanda moja na Mzee Mtei.

Unaweza kupewa hata ukurugenzi lakini ukubali kudumisha fikra za mwenyekiti wasiliana na Erasto Tumbo, usifikiri kuwa mtaalam wa fedha ndio kutakupa cheo hicho bali ni jinsi gani unaweza kupitisha bila kuhoji matumizi yasiyokuwa ya haki yaliyoidhinishwa na katibu, Mwenyekiti na Mwasisi wa Chama wasiliana na Mwigamba.

Kama wewe siyo dini moja na mwasisi wa Chama utapewa uongozi lakini kwenye maamuzi muhimu ya chama hutashirikishwa, wasiliana na Said Arfi atakujuza.

Mkuu huku fitna ndio nyumbani kwao, jaribu kugombea cheo utaona, pamoja uchaguzi wa BAVICHA umepita miaka mingi lakini hadi leo bado watu wanamuandama John Heche.

Hivyo mkuu karibu nakushauri ukifika huku usipende makuu waachie waanzilishi wafaidike na matunda ya mabadiliko.

Acha unafiki wewe, kwanza wewe siyo wanachama wa chadema, mbona nyie. Chama chenu kimekuwa cha familia na hatusemi, si afadhali ukoo ni mpana kidogo, nyie ni BABA, MAMA NA WATOTO (BMW)
 
Acha unafiki wewe, kwanza wewe siyo wanachama wa chadema, mbona nyie. Chama chenu kimekuwa cha familia na hatusemi, si afadhali ukoo ni mpana kidogo, nyie ni BABA, MAMA NA WATOTO (BMW)

Mkuu samahani lakini, ivi Grace Kiwelu na Mhe. Ndesamburo wana uhusiano wowote au Christina Magwai na Tundu Lisu vipi? ni coincidence au planned? tumuambie mwezetu Kiwatengu ukweli asije akaja na expectation huku alafu akakuta otherwise. Ni vema akawasiliana na Mhe. Nyimbo amueleze yaliyomsibu.
 
Mkuu samahani lakini, ivi Grace Kiwelu na Mhe. Ndesamburo wana uhusiano wowote au Christina Magwai na Tundu Lisu vipi? ni coincidence au planned? tumuambie mwezetu Kiwatengu ukweli asije akaja na expectation huku alafu akakuta otherwise. Ni vema akawasiliana na Mhe. Nyimbo amueleze yaliyomsibu.

pengine ni kushindwa elewa wale watu walichaguliwa kwa process halali kama sheria inavyoruhusu na haki yao waliyopewa kisheria.pengine ungeuliza kama hawakupata faida ya kuwepo kwa watu wao.

Pia sisahau kipindi wanaingia CDM watu waoga na wapenda madaraka hawakuwa wameona mbali na hivyo kutogombea,kwa hiyo walichopa ni ushindnaia mdogo na umahiri wao.Sasa CDM imethibitisha kuwa "hata JK aliongea kuwa ni chama cha msimu kwa vile hakuw ana uelewe kama wengine sasa tongotongo limetoka naye anatambua uwepo wa CDM na tishio lililoe mbeleni".Sasa huo ushindani ulioibuka nao unakuwa hauna sana nguvu kwani tayari hawa wamejifunza mengi yanayosaidia kujiweka sehemu ya kujiuz ana kuuzika.


Sasa hiyo huwezi linganisha na rushwa,vitisho, silaha majukwaani, na mengine yanayopitisha watoto wa wakubwa.
 
Bwana Nicholas! maelezo yako ni mazuri, asante...
 
Back
Top Bottom