kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,303
- 17,827
Wana JF nilikuwa natafuta sababu za kukihama chama changu ccm, na nimezipata! they say chadema ni ya wasomi, vijana na wanamapinduzi. hizo sifa ninazo! Nataka kuikacha CCM, na kama nikiwa mzee na yenyewe bado ipo, mi nitarudi tena!! cdm nipokeeni....