Kusini kuchele
Senior Member
- May 21, 2023
- 121
- 687
Hivi kuwa kama diva loveness love natakiwq nifanyeje? Yaani wanaume wanipapalikie,wanaume wanishobokee,nipate ofa ya bure kila ninapoenda,yaani kiujumla nipendwe na wanaume bongo mzima na nikipaka make up nivutie kila mtu au wanaume watokwe na mate naomba mniambie nifanyeje? Ila nishaanza mazoezi ya sauti,kutembea na kuvaa
Kiukweli mimi namuona anafaidi na anakula hela ya bure tu kwa jinsi wanaume wanavyomtamani na kumpapalikia aisee
Kiukweli mimi namuona anafaidi na anakula hela ya bure tu kwa jinsi wanaume wanavyomtamani na kumpapalikia aisee