Natamani nikingo'e kibamia changu

Natamani nikingo'e kibamia changu

Crucial b

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2015
Posts
276
Reaction score
110
Kila nikimpata msichana kibamia changu hicho kinaelea na kuniaibisha, wana JF siyo utani, imefikia hatua naona hakuna sababu ya kuoa maana ni aibu bin aibu, nikifanyeje hiki kibamia?

Halafu kwa bahati mbaya napata wasichana wenye masinia na mabeseni tu!
 
Pole ila ungejua kuwa utamu wa hawa wenzetu ni upo urefu wa nchi mbili tu na kwenye labia manyola kwa hiyo hicho ndo kitamu wanapemdaga kubwa kwani unachimba kisima cha maji hadi ukute mwamba wa maji au !??
 
Kichue kama unakamua maziwa ya ng'ombe.....kitarefuka tu.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Pole ila ungejua kuwa utamu wa hawa wenzetu ni upo urefu wa nchi mbili tu na kwenye labia manyola kwa hiyo hicho ndo kitamu wanapemdaga kubwa kwani unachimba kisima cha maji hadi ukute mwamba wa maji au !??

Rambo ni tatizo kila uchwao.
 
Ushasema una kibamia, unategemea utamwona msichana sio sinia wala beseni?
Ulitoka huko huko kwenye masinia mabeseni.
 
Kila nikimpata msichana kibamia changu hicho kinaelea na kuniaibisha,wana jf siyo utani imefikia hatua naona hakuna sbb ya kuoa maana ni aibu bin aibu nikifanyeje hiki kibamia? Harafu kwa bahati mbaya napata wasichana wenye masinia na mabeseni tu

Oa, ndoa ni stara, tunaambiwa katika dini yetu waislam .. Mnastiriana ikiwa pamoja na aibu.. Lakini pia angalia unapooa .. Waislam tunaangalia mambo 4 kabla ya kuoa hatubebi tu ili kupata mke mtakaye sitiriana
 
halafu hili jambo twalichukulia mzaha lakin lina effect kubwa sana kwenye ndoa, yaan ukioa mwanamke halafu hiyo size akawa haipendi ni ahiida sa vitimbi vidogovidogo havitaisha , mara unakoroma usiku, mara unakomba mboga, cjui una kipara jambo dogo tu mwanamke analikuza kupita kiasi, unakuta hakuheshimu maana kilichomtoa kwao hakiheshimu, yaan utaonyesha upendo wooote lakini hamkawii kuachana mara mmerudiana
 
halafu hili jambo twalichukulia mzaha lakin lina effect kubwa sana kwenye ndoa, yaan ukioa mwanamke halafu hiyo size akawa haipendi ni ahiida sa vitimbi vidogovidogo havitaisha , mara unakoroma usiku, mara unakomba mboga, cjui una kipara jambo dogo tu mwanamke analikuza kupita kiasi, unakuta hakuheshimu maana kilichomtoa kwao hakiheshimu, yaan utaonyesha upendo wooote lakini hamkawii kuachana mara mmerudiana

Hivi kwani mpaka unaoa unakua hujaangalia sexual compatibility?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom