"Natamani Mpenzi wangu asafiri"

"Natamani Mpenzi wangu asafiri"

Mpwa ni kweli kabisa, sio kweli mara zote akina Mama wako negative kwa kila kitu , No No, hawa watu resource nzuri sana ya kila kitu. Unakaaa kimya kwa vitu ambavyo labda unaona ukiongea itakua purukushani kubwa zaidi sasa ili kuzuia hayo yote unakaa kimya halafu unajua nini asubuhi kukipambazuka namtekenya kidogo, mwanzoni ilikua ngumu but now amezoea kuwa tukishatofautiana kitakachofuata kesho yake ni tekenyo.....
CC: Smile Paloma Little Angel Fidel80 na wapwa zangu wengine dudu morning

dudu morning ngo lugha gani Elli au leo hujafanya tekenyo?!?!
Elli kuna watu wengine wako hivi🙁tena bahati mbaya mwanaume) akikuongelesha ukaamua kunyamaza kimya ili kuepusha sahri anasema unamdharu. ukimjibu sasa, anageuza hayo uliyomjibu kama silaha yake sasa na ugomvi ndo unacotton fire! Ubinadamu kazi.............
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa ukikutana na incident ya naman hio (sikuombei) niite tu maana mie nina cotton rain......kuzacha?
dudu morning ngo lugha gani Elli au leo hujafanya tekenyo?!?!
Elli kuna watu wengine wako hivi🙁tena bahati mbaya mwanaume) akikuongelesha ukaamua kunyamaza kimya ili kuepusha sahri anasema unamdharu. ukimjibu sasa, anageuza hayo uliyomjibu kama silaha yake sasa na ugomvi ndo unacotton fire! Ubinadamu kazi.............
 
hahahaaaa ukikutana na incident ya naman hio (sikuombei) niite tu maana mie nina cotton rain......kuzacha?

hahahahaa nilishakutana nao...........ulizimwa kwa zimamoto zile za maji ya kuwasha! pakatulia! now ni burudani tuuuuuuu...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom