Natamani mlima Kilimanjaro ubinafsishwe

Natamani mlima Kilimanjaro ubinafsishwe

lyinga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
2,494
Reaction score
1,057
Natama siku moja serikali itangaze kubinafsisha mlima kilimanjaro tuone kitakachojiri kwa wakaazi wanaozunguka maeneo hayo , tumeona nyamongo, bulhankulu huko.shinyanga, mirerani , longido na kwingineko hembu wajaribu na huku nchi izaliwe upya.
 
natamani mlima kilimanharo uamishiwe dar
Natama siku moja serikali itangaze kubinafsisha mlima kilimanjaro tuone kitakachojiri kwa wakaazi wanaozunguka maeneo hayo , tumeona nyamongo, bulhankulu huko.shinyanga, mirerani , longido na kwingineko hembu wajaribu na huku nchi izaliwe upya.
 
Nao wataishia kuwa kama wa huko ulikokutaja. Hohehahe ilhali mali (pesa za utalii) zikihamishiwa kwa hao wawekezaji.
Btw... Longido ulimaanisha Loliondo?
 
Natamani tu halafu nione watu wahuko watachukua hatua gani watakubali au watakataa manake huwa wenyewe wanajiona wanajua sana.

Dada lyinga naona unajaribu kukimbia kivuli chako! Unless hilo jina "umekopeshwa" watu wa huko ni kweli wanajua jua sana tu...ila hawana ujuaji ka huu nilio quote hapa!

Anaeweza kuubinafsisha huo mlima aje tu! Anakaribishwa na tutampa ushirikiano kukuza utalii!


Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Dada lyinga naona unajaribu kukimbia kivuli chako! Unless hilo jina "umekopeshwa" watu wa huko ni kweli wanajua jua sana tu...ila hawana ujuaji ka huu nilio quote hapa!

Anaeweza kuubinafsisha huo mlima aje tu! Anakaribishwa na tutampa ushirikiano kukuza utalii!


Sent from my WhiteBerry using JamiiForums

Nimetoa hii kwa vile ninaona rasilimali za maeneo mengi zimebinafsishwa huku wenyeji wakiwa hohehahe na hawajui wafanye nini wakuwatetea hayupo mfano hapo nyamongo tumeona mwekezaji yupo lakini mauwaji ya kutisha na watu mifugo kudhurika na sumu za dawa au madini lakini wapo wapo tu sasa ningetamani waje na huku nione wachaga watachukuwa hatua gani.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu angalia ucje ukatamani kuibinafsisha na familia yako ili tu uone kitakachotokea
 
Mkuu angalia ucje ukatamani kuibinafsisha na familia yako ili tu uone kitakachotokea

Tumelala sana aisee mpaka hapa tulipo tushauzwa sema.hatujashtukia tu .
 
mlima k'njaro upo tz,,tz tiar ishabnafcshw ndo maana kila m2 anachukua chake kwaiyo hata mlma wenyew ushabnafcshw mkuuu
 
Back
Top Bottom