Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Mambo ni aje wana JF!!
Hatimaye nimerejea tena jamvini. Sio siri huu mwezi naona dada zangu wengi wanavaa mavazi mazuri na ya kupendeza!!
Mavazi yenye heshima mbele za watu na yanayositri maungo yao vizuri!!
Jamani DADAZ kwanini msiendelee kuvaa hivi siku zote??!! Ni mtazamo tu!!!
Hatimaye nimerejea tena jamvini. Sio siri huu mwezi naona dada zangu wengi wanavaa mavazi mazuri na ya kupendeza!!
Mavazi yenye heshima mbele za watu na yanayositri maungo yao vizuri!!
Jamani DADAZ kwanini msiendelee kuvaa hivi siku zote??!! Ni mtazamo tu!!!