Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,581
- 59,670
ushetani wewe mwehuMimi ni mrefu futi 6.1 nataka nijifunze kung Fu. Nataka niwe natembeza mateke ya fasta ngumi sipigi. Na kuwa sniper napenda maana waliniudhi wale mafala walipoteza risasi kama 30 afu Tundu lisu bado anapiga mluzi
Mzee baba je unajua kupata tageti vizuri japo kwa kutumia manati? "Shabaha kali" ni kipaji cha kuzaliwa nacho jipime kwanza kwa kutumia manati, ukiona upo safi hapo basi jua wewe ni miongoni mwa masniper ambao bado hawajajitanabahi.Hivi ni hatua zipi zinahitajika mtu ujifunze kuwa sniper!?
Ni lazima upitie kuwa mwanajeshi au police?
Huwezi pata mafunzo yoyote nje ya jeshi ikiwa utahitaji kumiliki silaha yenye uzito huo kwa matumizi yako binafsi.
Na aina hii ya silaha zinapatikana kwa matumizi binafc!?
InterestedZamia Somalia hapo unapewa mafunzo yote.
Ukirudi kama una jicho zuri unaweza kupiga target hata iliyo umbali wa mita 1000.
Tatizo TZ umiliki wa silaha ni mtihani, ingekua kama USA shavu sana.
Maana kuna vitu mtu unataka kufanya ila huna access ya kupata sniper rifle.
Hata smuggling game yetu ni ndogo sana.
Si rahisi kiasi hichoNenda jkt utafundishwa
[emoji23]Macho yako yanoesha ulivaa miwani sana au umetoka kulala?
Mambo mengine yako kwenye damu sheikh, tatizo siyo movie!Iz movie za Hollywood zinaharibu sana watoto
Mimi pia nilihitaji sana, ila mpaka hapa nilipo, nimebaki na tumaini dogo sana!Mimi nataka kuwa msoja mpaka leo ndoto yangu haijafa... Sema umri unataka kunikimbia wa kujiunga jkt