queen Marie
Member
- Jun 4, 2017
- 23
- 35
Sifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
HahaaaWanaokufuata hawajakuvutia, balaa ni pale watakaokuvutia hawakupendi wala hawavutiwi na wewe.
KweliWanaokufuata hawajakuvutia, balaa ni pale watakaokuvutia hawakupendi wala hawavutiwi na wewe.
Mzma,Melkiory,,,,,,,,wamfahamu????uu mzima ilikuwaje ukachange? nikumbushe at list first letter ya zamani na last letter nimekusahau.
njoo kwangu tuu bbieAsante mpenzi.. natamani atokee hata kesho
Hamia mkoaniMoyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.
Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Kukupenda ulivyo si ndio chura yenyewe!Sifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
Kuna uzi aliweka juzi juzi kuwa ana kitumbo na mwenye nacho ahudumiii kama sijachanganya mafailiHata Mimi hujaniona embu endelea na pitapita la bda utafika
Mi sipendi mwanake anaetaka utawala juu yangu, kama upo tayari karibu tuseme zana,but upendo ninao tena mkubwa sana kw atakae ridhia sharti languSifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
tukumbushe tafadhaliKuna uzi aliweka juzi juzi kuwa ana kitumbo na mwenye nacho ahudumiii kama sijachanganya mafaili