Cheki na rugeHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dini yako tafadhali maana ni muhimu ili tujue mapema....Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nina Certificate ya chuo cha Amazon ila nina malengo ya kuwa na degree kwa siku za usoni
Usicheke maana tusio na degree tunanyanyapaliwa wakati suala la degree ni man made yaani leo nina certificate na kesho nitakuwa na degree hivyo mtie moyo bidada angalau hapo kwenye degree aongeze kwamba walio na nia ya kujiendeleza watakuwa considered pia ili mwaka huu niingie diploma kwa kasihahhaha sijui kwann nimecheka
Usicheke maana tusio na degree tunanyanyapaliwa wakati suala la degree ni man made yaani leo nina certificate na kesho nitakuwa na degree hivyo mtie moyo bidada angalau hapo kwenye degree aongeze kwamba walio na nia ya kujiendeleza watakuwa considered pia ili mwaka huu niingie diploma kwa kasi
daaah kweli bhan so poaTuliokimbia shule kisa umande mnatubagua
Sanaaaaa
Kila uzi msomi wa degree
Asee tupeni nafas
Tusiosoma banah
35+ msomi halafu hana mke sijuii lakini
Karibu pmHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua mkuu unajua umeongea fasihi kali sana..Words of wisdom!!!
Madem ni kama mahindi choma,
Una toa lines zako mbili upatie mwingine.
atakayebaki na gunzi shauri yake
Hello dada hbr yako,kama hujapata mtu au mume ni check inbox plsHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani jinsi ulivyoandika kwa unyenyekevu yaan kama navuta taswira tuko pamoja vile!! Nimekupenda buuuuure kabisa njoo pm nowMmmmm Yeye ndo alikuwa sababu ya break up yetu. M innocent girl MTU atakayenioa hawezi kuregret kwa kweli, because I know myself vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unatamani kuolewa.....na si kutaka kuolewa.....Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app