wana jf,huu ndo mwaka niliojipangia kuoa,ni kweli na wazi kwamba wasichana hawana ukweli ila ni matarajio yangu kuoa.kwa mdada aliyeko tayari na mwaminifu naomba 2wasiliane,asiwe mtu wa k'njaro au iringa.awe na kazi inayotambulika...umri 18-24
Kwa nini asiwe wa kilimanjaro au iringa?
Kwa kigezo chako cha ubaguzi ulichoanza nacho hautapata mke.
wa iringa wanajinyonga ovyo afu wa k'njaro wanaua wanaume,ndo ivo tu.
Loh! Baba mpare mama mbena....
wana jf,huu ndo mwaka niliojipangia kuoa,ni kweli na wazi kwamba wasichana hawana ukweli ila ni matarajio yangu kuoa.kwa mdada aliyeko tayari na mwaminifu naomba 2wasiliane,asiwe mtu wa k'njaro au iringa.awe na kazi inayotambulika...umri 18-24
Kwa nini asiwe wa kilimanjaro au iringa?